HabariKutokana na ufinyu wa knowledge on how and where to get for cheap prices as whole sale (for starter lets say 20 pieces); ukizingatia the demand is high kwa kua kuna wanafunzi wengi saaana.
Naitaji mwenye uzoefu na haya mambo anipe knowledge na ushauri ili nijue nianzia wapi.
Habari mkuu, najua nimechelewa kujibu hii na nimepitia thread yako na kuzisoma vizuri.Habari
Je lengo ni kununua mzigo hapa nchini au ni kuagiza toka nje ya nchi?
Iwapo utahitaji kuagiza kutoka nje ya nchi ili ku_make profit kubwa basi usisite kuwasiliana nami kupitia hii thread www.bit.ly/101buy4me
karibu