Habari za Wikiend Wadau,
natumai mko poa, nafikiria nijihusishe na Biashara ya Mpunga, lakini sio katika kununua au kuuza mpunga wenyewe, bali kuvuna au kukoboa mpunga wa watu wengine. Yaani ninunue Rice Combined Harvester au Mashine ya Kukobolea Mpunga kisha niiweke mahali, watu wakija kuhitaji huduma wanalipia.
Sasa msaada wangu naouhitaji kutoka kwenu wataalamu wa hii biashara ni ufuatao,
1) Ni biashara gani katika hizi mbili inalipa zaidi (i.e Harvester au mashine ya Kukobolea) na yenye "payback period" fupi au ya mapema kuliko ingine?
2) Wapi nitapata mashine za hiyo inayolipa (Either Harvester au mashine ya Kukobolea) kwa gharama nafuu zaidi,
3) Ni aina gani ya mashine ni nafuu na durable zaidi kwa shughuli hizi za zinazohusisha uvunaji mkubwa zaidi?
4) Ni maeneo gani au mashamba yepi nikipeleka hizi mashine basi wateja ni wengi hivyo uhakika wa mashine kufanya kazi ni mkubwa?
5) Maoni/Ushauri mwingine wowote unakaribishwa
Karibuni
natumai mko poa, nafikiria nijihusishe na Biashara ya Mpunga, lakini sio katika kununua au kuuza mpunga wenyewe, bali kuvuna au kukoboa mpunga wa watu wengine. Yaani ninunue Rice Combined Harvester au Mashine ya Kukobolea Mpunga kisha niiweke mahali, watu wakija kuhitaji huduma wanalipia.
Sasa msaada wangu naouhitaji kutoka kwenu wataalamu wa hii biashara ni ufuatao,
1) Ni biashara gani katika hizi mbili inalipa zaidi (i.e Harvester au mashine ya Kukobolea) na yenye "payback period" fupi au ya mapema kuliko ingine?
2) Wapi nitapata mashine za hiyo inayolipa (Either Harvester au mashine ya Kukobolea) kwa gharama nafuu zaidi,
3) Ni aina gani ya mashine ni nafuu na durable zaidi kwa shughuli hizi za zinazohusisha uvunaji mkubwa zaidi?
4) Ni maeneo gani au mashamba yepi nikipeleka hizi mashine basi wateja ni wengi hivyo uhakika wa mashine kufanya kazi ni mkubwa?
5) Maoni/Ushauri mwingine wowote unakaribishwa
Karibuni