mvujajasho
Member
- Oct 27, 2010
- 33
- 23
Wanajamii, wasalaam
Nina ndoto ya kufungua biashara ya sabuni za kufulia kwa maana ya kufungua kiwanda. Kwenye tafiti nilizofanya kwa maana ya mashine/ mtambo toka chini itaigharimu kama milioni mia moja kuanza biashara hii. Naomba kama kuna aliyepo kwenye biashara hîi tayari anisaidie a,b,c zake hasa kuhusu uwekezaji na faida
Natanguliza shukrani
Nina ndoto ya kufungua biashara ya sabuni za kufulia kwa maana ya kufungua kiwanda. Kwenye tafiti nilizofanya kwa maana ya mashine/ mtambo toka chini itaigharimu kama milioni mia moja kuanza biashara hii. Naomba kama kuna aliyepo kwenye biashara hîi tayari anisaidie a,b,c zake hasa kuhusu uwekezaji na faida
Natanguliza shukrani