Borderlandz
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 548
- 729
Mkuu unaweza kushare gharama kidogo ilikucost beii ganii hadi kufikia palee ulipoishia kwenye hyo saloon unayokodisha...!!Mi napangisha fremu inayofaa kuwa saloon ya kiume
Kwa maelezo zaidi na picha pita hapa.
Barber shop inapangishwa
Nitajitahidi kuchambua baadae kidogo nikipata mudaMkuu unaweza kushare gharama kidogo ilikucost beii ganii hadi kufikia palee ulipoishia kwenye hyo saloon unayokodisha...!!
sawaa mkuu ...nitangulize shukrani[emoji120] [emoji120]Nitajitahidi kuchambua baadae kidogo nikipata muda
Uko mkoa gani mkuuWanajukwaa, nawasalimu katika jina la kujitegemea.
Nina wazo na nimeanza kutenga sehemu ya pato langu ili nianzishe biashara itakayo niongezea katika kidogo changu nacho pata kila mwisho wa mwezi.
Naomba kusaidiwa katika makadirio hasa katika biashara ya SALON YA KISASA YA KIUME.
Nina imani wajumvi mtanisaidia nini na kiasi gani nahitaji kuwa nacho.
Asanteni na amani iwe kwenu.
Nimekuelewa..mkuu ila vipi..kuagiza mtandaoni sina uzoefu je kuna uhaikika mkubwa toka uk Wa kupata bidhaa yangu??Ni vigumu kupata figure kamili ya ghalama yote. Ghalama kubwa au ndogo itategemea nini na nini utaweka kwenye salon yako.
--------
KWA SASA FANYIA KAZI HIVI VIPENGELE
- Location sahihi ya kufungua hii huduma - Hapa utakuwa umelenga soko lako ni lipi hasa; Mfano wa maeneo mazuri ni (a) kati kati ya mji au (b)Maeneo Jirani na Taasisi kama vyuo vikuu au shule za bweni et al
- Fahamu ni vifaa gani vitakavyo hitajika na ghalama zake ni zipi
Baadhi ya vifaa ambavyo inatakiwa ufahamu bei zake kwanza ni kama ifuatavyo.
*2x Basic barber chairs
*2x WAHL Clippers - Hakikisha unapata mashine OG za kunyolea, ambazo hazipati JOTO zikitumika kwa muda mrefu, Napendekeza hii brand hasa series 3000, Sababu ni bora na ghalama nafuu.
*Equipment Sterilizer
*Cosmetic Products
*Fabric sheets, towels, apron
*Hair Style Charts
*2x Waiting or Lounge Chairs
*Water heating & storage
*Small Basins
*Backup Generator
*Entertainment System
WAPI UTAPATA VIFAA VYENYE UBORA
- Tafuta kwenye maduka makubwa dar / arusha
- Pia angalia mtandaoni ( Nunua mtandaoni iwapo tu utakuwa umeokoa kiasi fulani cha fedha ukilinganisha na kununua hapa nchini)
- Mfano HAI ni hizi WAHL Clippers - Kwa maduka ya TZ yaliyomengi bei ni kati ya TZS 140,000 hadi 250,000 kwa moja (1) tu. Lakini ukiangalia picha hapa chini utaona nimenunua clippers mbili (2) kwa TZS 178,259 tu ( Ni bidhaa kutoka UK, Ni order ya mwana JF mwenzetu)
View attachment 502364
View attachment 502366
View attachment 502365
------
Kwa kununua toka nje ya nchi kwa Baadhi ya vifaa tumia hii thread www.v.ht/buy4me
Bila shaka kwa ufahamu wangu mdogo utakuwa umepata mwanga kwa kiasi fulani ili kufikia lengo lako.
KARIBU
View attachment 502367
- Nimeweka thread maalum hapa: www.bit.ly/101buy4meNimekuelewa..mkuu ila vipi..kuagiza mtandaoni sina uzoefu je kuna uhaikika mkubwa toka uk Wa kupata bidhaa yangu??
Usimamizi, watu wananyoa sana lakini wanaghushi taarifa za hesabu. Na hakuna namna utagundua hapa wamenyolewa watu 10 au 20Habari ndugu zangu.Berber shop ni moja ya huduma muhimu sana Katika jamii nyingi za kitanzania,hudumu Hii haina gharama nyingi za uendeshaji japokuwa mwanzoni unaweza tumia pesa nyingi sana.Biashara Hii kama biashara nyingine nyingi inachangamoto zake mbalimbali.Je wewe ulikutana na changamoto gani na uliweza kuitatuwa kwa namna gani?
Karibuni....
Vizuri umemtajia na bei ya vitu, kazi kwake kuchambua vichache miongoni mwa hiviInategemea mtaji wako ni kiasi gani,lakini kama hiyo picha hapo juu ndio wewe nna uhakika hautashindwa bajeti hii kwa saluni bora kabisa na ya kisasa.
Viti 6@900,000 = 5,400,000
mashine5@100,000. =. 500,000
viti 2(washing room). =
Air confitioner 18000BTU 5*5 = 1,400,000
Tv inch 32 sumsung. =. 500,000
Workstation mirror 4@200,000= 800,000
Towel warmer. =. 400,000
Sterilizers. 4@ 200,000. =. 800,000
Generator. =. 500,000
others. =. 500,000
Frame and refurbish. =. 5,000,000
TOTAL. =. 15,800,000