Biashara ya saluni ya kiume

Biashara ya saluni ya kiume

MrLogout

New Member
Joined
Jan 13, 2022
Posts
2
Reaction score
6
Habari wakuu, naamini mko salama kabisa.

Naomba msaada wa kimawazo na ushauri katika kufungua / kufanya biashara ya Barbershop (Saloon ya kiume) kiukweli sijawahi fanya kabisa hii biashara hapo awali lakini ninapenda niifanye, ila kama mjuavyo biashara yoyote ile kabla haujaifanya ni vyema kuuliza kwa wenye uelewa wa biashara hiyo au ambao tayari wamekwisha ifanya hiyo biashara.

Leo hasa napenda kujua namna nzuri ya kuisimamia hasa katika upande wa kugawana faida Kati ya mmiliki na mfanyakazi.

Wale ambao mmekuwa mkiifanya biashara hii mmekuwa mkitumia njia gani ambayo huleta matokeo bora zaidi?
 
Habari wakuu, naamini mko salama kabisa.

Naomba msaada wa kimawazo na ushauri katika kufungua / kufanya biashara ya Barbershop (Saloon ya kiume) kiukweli sijawahi fanya kabisa hii biashara hapo awali lakini ninapenda niifanye, ila kama mjuavyo biashara yoyote ile kabla haujaifanya ni vyema kuuliza kwa wenye uelewa wa biashara hiyo au ambao tayari wamekwisha ifanya hiyo biashara.

Leo hasa napenda kujua namna nzuri ya kuisimamia hasa katika upande wa kugawana faida Kati ya mmiliki na mfanyakazi.

Wale ambao mmekuwa mkiifanya biashara hii mmekuwa mkitumia njia gani ambayo huleta matokeo bora zaidi?
Njia Bora ni kuwepo mwenyewe hapo salon.

Usijaribu kumuachia mtu,,utapigwa na kitu chenye incha Kali kichwani
[emoji3][emoji3]
 
Njia Bora ni kuwepo mwenyewe hapo salon.

Usijaribu kumuachia mtu,,utapigwa na kitu chenye incha Kali kichwani
[emoji3][emoji3]
Shukrani kwa ushauri, ila kama ujuavyo wengi tunafungua biashara kwa lengo la kuongeza vyanzo vya mapato. Na huenda mtu ukawa unafanya kazi sehemu ila unaamua kufungua biashara siyo kwa lengo la kushinda hapo hapo ila kwa lengo la kwamba na yenyewe iwe ni sehemu ya kuongoza chochote kitu. Naamini kuna watu wana biashara zaidi ya tatu au nne na zote zinakwenda hivyo huenda issue ya kushinda mwenyewe physically kwenye biashara siyo njia pekee ya kuisimamia biashara. Kwa wale ambao wamekwisha fanya biashara ya saloon ya kiume naombeni experience yenu namna ya kusimamia au namna ya kugawana faida na kijana anaeshinda ili yeye apate lakini na ofisi pia ipate
 
Shukrani kwa ushauri, ila kama ujuavyo wengi tunafungua biashara kwa lengo la kuongeza vyanzo vya mapato. Na huenda mtu ukawa unafanya kazi sehemu ila unaamua kufungua biashara siyo kwa lengo la kushinda hapo hapo ila kwa lengo la kwamba na yenyewe iwe ni sehemu ya kuongoza chochote kitu. Naamini kuna watu wana biashara zaidi ya tatu au nne na zote zinakwenda hivyo huenda issue ya kushinda mwenyewe physically kwenye biashara siyo njia pekee ya kuisimamia biashara. Kwa wale ambao wamekwisha fanya biashara ya saloon ya kiume naombeni experience yenu namna ya kusimamia au namna ya kugawana faida na kijana anaeshinda ili yeye apate lakini na ofisi pia ipate
Weka kima cha pesa kwa kila kiti cha hapo salon.

Mfano unaweza kuweka kila kiti akupe 50 kila kiti kimoja.
Kama wapo vinyozi 2 means kwa jumla utapata 100000 kwa week..

Hapo ataji balance mwenyewe.
Na usikubali kulipwa kulingana na wateja anaopata.

Utapigwa na kitu kizito kichwani.
 
Habari wakuu, naamini mko salama kabisa.

Naomba msaada wa kimawazo na ushauri katika kufungua / kufanya biashara ya Barbershop (Saloon ya kiume) kiukweli sijawahi fanya kabisa hii biashara hapo awali lakini ninapenda niifanye, ila kama mjuavyo biashara yoyote ile kabla haujaifanya ni vyema kuuliza kwa wenye uelewa wa biashara hiyo au ambao tayari wamekwisha ifanya hiyo biashara.

Leo hasa napenda kujua namna nzuri ya kuisimamia hasa katika upande wa kugawana faida Kati ya mmiliki na mfanyakazi.

Wale ambao mmekuwa mkiifanya biashara hii mmekuwa mkitumia njia gani ambayo huleta matokeo bora zaidi?
Biashara ya saloon kama unataka ufanye saloon kubwa kwanza tafuta sehem penye mzunguko mkubwa wa watu..... kweny swala la furniture ni gharama lkn pia unaweza nunua used kwa wale watu wanaouza vitu used wanaagiza kutoka nje..... kweny vinyozi unaweka wawili wao ndio wanatakiwa wakulipe ww siku za mwanzo sio ww ndo uwalipe......alafu baada ya miez miwili utaona umeingiza kias gani hapo ndo unawaita unaongea kuhusu mshahara.....Wao wenyewe pia wataamua ni wadada wa saloon wawe wangapi mmoja Kati ya hao vinyozi utamuweka msimamizi biashara ikikua unaajili msimamizi mwingine unamlipa kwa mwezi
 
Back
Top Bottom