Biashara ya samaki wa kukaanga kutoka Mwanza kisha kuwatuma mikoani imekaaje?

Biashara ya samaki wa kukaanga kutoka Mwanza kisha kuwatuma mikoani imekaaje?

Kigorohe

Senior Member
Joined
May 21, 2019
Posts
160
Reaction score
255
Habari zenu wadau!

Najua JF ni darasa tosha kwa vijana. Hivyo mimi kama kijana naomba kujua ninachokiwaza kama kipo sahihi. Mawazo yangu ni kukaanga samaki na kuwasafirisha mpaka Arusha kisha kuwauzia huko Arusha.

Nimefanya uchunguzi nikabaini kuwa kwa Arusha samaki wa Mwanza wana soko kwani ni wakubwa ukilinganisha na wa huku hasa wanaotokea nyumba ya Mungu. Natambua humu kuna watu waliwahi fanya biashara kama hii nipeni mawazo wakuu. Pia naomba kujua na kiasi cha mtaji wa kuanzia.
 
Back
Top Bottom