shaban abdala
Member
- Oct 6, 2014
- 16
- 3
Kuna thread kibao hapa za hiyo biashara tafuta ujisomee madini....kila laheriHabari wakuu?samahani ndugu zangu naomba muongozo kwa mwenye ufahamu/uzoefu wa biashara ya uuzaji wa samaki wabichi(mahitaji yake kuanzia vifaa na documents kama vile leseni)
Bila La kherii bana sabanyHabari wakuu?samahani ndugu zangu naomba muongozo kwa mwenye ufahamu/uzoefu wa biashara ya uuzaji wa samaki wabichi(mahitaji yake kuanzia vifaa na documents kama vile leseni)
Nipo Dar es salaamUpo mkoa gani? Mimi nafanya hii
Ukiwa tayari nikusambazie mzigo, kilo nitakuuzia elf6Habari wakuu?
Samahani ndugu zangu naomba muongozo kwa mwenye ufahamu/uzoefu wa biashara ya uuzaji wa samaki wabichi(mahitaji yake kuanzia vifaa na documents kama vile leseni)
Elfu sita ni sato au sangaraUkiwa tayari nikusambazie mzigo, kilo nitakuuzia elf6