Biashara ya samaki

jiologia

New Member
Joined
Dec 28, 2018
Posts
3
Reaction score
1
Wapendwa nahitaji kufanya biashara ya samaki
Kutoka tanga to Moshi
Au mwanza to Moshi
Kwa wezangu ambao wameisha Fanya biashara hiyo naombeni.ushauri wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…