Imekaaje mkuu??vip mzigo huwa unachukua muda gan hadi kukufikia??kip bora kwenda china or kutumia alibaba??Msaada ukikosekana,tembelea alibaba.com uweze kuchat/kuwasiliana na wauzaji wa jumla au wazalishaji;unaweza kuweka utaratibu wa kulipia na wewe kupokea mzigo pamoja na kulipia kodi n.k
Sijaifanya hii biashara,ila kwa mtazamo wangu unaweza kufanya mawasiliano na 'exporters' wakakupatia garama za ununuzi pamoja na 'terms' za kutumia;baada ya hapo unaweza kwenda tra wakakusaidie kuhusu kodi;au unaweza kuwatumia watu au kampuni za clearance zikakusaidia. Au unaweza ukaamua uende mwenyewe China ukanunua mzigo ukaja nao bongo na ukalipia kodi zinazotakiwa na ukaendelea na biashara yako;ni wewe mwenyewe kuangalia mtaji wako.Imekaaje mkuu??vip mzigo huwa unachukua muda gan hadi kukufikia??kip bora kwenda china or kutumia alibaba??
Poa poa mkuu ahsante snaSijaifanya hii biashara,ila kwa mtazamo wangu unaweza kufanya mawasiliano na 'exporters' wakakupatia garama za ununuzi pamoja na 'terms' za kutumia;baada ya hapo unaweza kwenda tra wakakusaidie kuhusu kodi;au unaweza kuwatumia watu au kampuni za clearance zikakusaidia. Au unaweza ukaamua uende mwenyewe China ukanunua mzigo ukaja nao bongo na ukalipia kodi zinazotakiwa na ukaendelea na biashara yako;ni wewe mwenyewe kuangalia mtaji wako.
Asante Kwa wazo hiliMsaada ukikosekana,tembelea alibaba.com uweze kuchat/kuwasiliana na wauzaji wa jumla au wazalishaji;unaweza kuweka utaratibu wa kulipia na wewe kupokea mzigo pamoja na kulipia kodi n.k
Salaam wana jamvi
Kwa wale waliowai kufanya biashara hii au wanafanya biashara hii mwanza
Hivi sasa nipo Rwanda napiganisha
Ilaa Nataka kufungua duka langu inshaallah soon
Kwa wenye uzoefu mwanza nipen details kuanzia frame..
Machimbo ya kupata mzigo aggrey kariakoo yote nayajua. Na yeyote atake hitaj mzigo kutoka kariakoo pia naeza muunganisha na watu wa madukan
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari mdau. Hongera kwa kuwa na wazo la kufanya biashara. Kwanza niseme hakuna biashara inayolipa na isiyolipa kwani kila biashara inalipa na kila biashra hailipi. Nikiwa namaana kila biashara unaweza kutoboa au ukaangukia pua.Habari za humu ndani washika dau wenzangu.ebana nataka kufanya biashara ya kuuza accessories za simu na laptop
Je ni kweli zinalipaaa lakini na napenda kuifahamu biashara hii kiujumla inapoanzia
je computer motherboard pia mnaagiza? na jee huwa zina range bei gani mf.LENOVO.LAPTOPS.BEI ZA DISPLAY (VIOO).
.
SAMSUNG (S) SERIES.
.
.[emoji383] TSH [emoji383].
.
Samsung s3
Kioo 80,000. - SUPER AMOLED.
.
Samsung s4
Kioo 70,000. -TFT.
kioo 110,000.- SUPER AMOLED.
.
Samsung s5
Kioo 95,000.-TFT.
kioo 170,000.-SUPER AMOLED.
.
Samsung s6
Kioo 180,000.-SUPER AMOLED.
.
Samsung s6 Edge
Kioo-190,000-SUPER AMOLED.
.
Samsung s6 Edge Plus
Kioo-270,000.-SUPER AMOLED
.
Samsung s7
Kioo 190,000.-SUPER AMOLED.
.
Samsung s7 Edge
Kioo-300,000-SUPER AMOLED.
.
Samsung s8
Kioo-380,000.-SUPER AMOLED .
.
Samsung s8 plus
Kioo-400,000-SUPER AMOLED.
.
Samsung s9
Kioo-400,000-SUPER AMOLED.
.
Samsung s9 Plus
Kioo-420,000-SUPER AMOLED.
.
. ********VIOO NI MPAKA UWEKE ORDER ALAF NDO NIAGIZE INATUMIA WEEK 2 MPAKA KUPATA KIOO CHAKO*************
.
.
PIA VIOO VYA SIM NYENGINE
TUNAAGIZA ...........iPhone,Huawei,Lenovo,Oppo,....Vivo,Xiaomi,Infinix n.k
âí µí´¹; í µíµí µíµí µíµí µíµ âí µíµ í µíµâí µíµí µí´¾í µíµâí µí´¸í µíµ, âí µí´¸ í µíµí µí´¸ââí µí´¸âí µíµí µíµ í µíµí µí´¸ í µíµí µíµí µí´¼â¤í µíµ í µíµí µíµí µí´¼â¤í µíµ í µí¿
Tupigie/tutumie ujumbe mfupi (SMS). 0784757203.
#0784757203 .
LOCATION.
Kijichi, Mbagala kuu, Temeke, Dar es Salaam, Tanzania.
je computer motherboard pia mnaagiza? na jee huwa zina range bei gani mf.LENOVO.LAPTOPS.