Biashara ya simulizi kwenye mitandao

Biashara ya simulizi kwenye mitandao

Munguwetu

Member
Joined
Dec 13, 2022
Posts
87
Reaction score
80
Siku hizi imeibuka biashara ya simulizi mitandaoni ikiwemo Whatsapp na Facebook.

Hawa watunzi wamejigawa katika makundi. Watunzi halisi, wanaocopy kazi za wenzao na kuziuza bukubuku. IPO mifano

Mtunzi hapa JF ndg Singano bila shaka anajua mwenyewe anatungaje na kutuma vipande vipande wastani wa kurasa tatu.

Na wapo watunzi wengine sikuwataja hapa.

Lengo la Uzi wangu huu ni juu wa vijana matapeli wanaouza vipisi. Kawaida hujiunga kwa group hupokea simulizi na wao wanafungua akaunti magroup mapya na kulangua simulizi za wengine.

Ushauri
Kama ni kwenye Whatsapp tumien zaidi pdf. Kabla hujaituma I protect asiweze ku copy, ikiwezekana weka watermack ya bland yako.

Watunzi jitahidini muweke protection kwenye kazi zenu.
 
Kuna mmoja anajiita fortunatus buyobe,
Ni mwizi sugu wa maandiko ya watu humu jf anaenda kuuza uko kweny magrup yake na credit hatoi Wala nn[emoji3525]
 
Kuna mmoja anajiita fortunatus buyobe,
Ni mwizi sugu wa maandiko ya watu humu jf anaenda kuuza uko kweny magrup yake na credit hatoi Wala nn[emoji3525]
Hawa inatakiwa kuwabaini na kuwapiga pini
 
Siku hizi imeibuka biashara ya simulizi mitandaoni ikiwemo Whatsapp na Facebook.

Hawa watunzi wamejigawa katika makundi. Watunzi halisi, wanaocopy kazi za wenzao na kuziuza bukubuku. IPO mifano

Mtunzi hapa JF ndg Singano bila shaka anajua mwenyewe anatungaje na kutuma vipande vipande wastani wa kurasa tatu.

Na wapo watunzi wengine sikuwataja hapa.

Lengo la Uzi wangu huu ni juu wa vijana matapeli wanaouza vipisi. Kawaida hujiunga kwa group hupokea simulizi na wao wanafungua akaunti magroup mapya na kulangua simulizi za wengine.

Ushauri
Kama ni kwenye Whatsapp tumien zaidi pdf. Kabla hujaituma I protect asiweze ku copy, ikiwezekana weka watermack ya bland yako.

Watunzi jitahidini muweke protection kwenye kazi zenu.
Ni kweli kabisa. Watu ni wezi sana.

Kuweka Watermark kwenye kazi yako ni vyema sana maana inaepusha wizi but kwa hapa JF wafanyeje ili kazi zao zisiibiwe?
 
Back
Top Bottom