monta
JF-Expert Member
- May 6, 2014
- 1,271
- 1,803
Wakuu nimekuwa nikipambana kila leo kufikiria natoka vipi ilhali elimu yetu bongo haina msaada wowote(tunakaa na vyeti ndani). Kuna biashara nilikuwa nafanya mkoa fulani kwa takribani miezi 6 toka January na ilikua inanilipa 10k per day, almost 300k per month. Wiki mbili zilizopita imepata changamoto toka utawala wa sasa na kupelekea kuflop (nimeifunga).
Nimekuja na plan B ya kuanzisha biashara ya Soft Drinks nikiwa nimefanya research kiasi fulani. Nataka nitafute freezer (BOSS) litre100 na dell 2 za kuanzia kwa ajili ya kusambaza ice cream mashuleni na vinywaji baridi kwenye fremu niliyokuwa nafanyia biashara ya awali.
Nitakuwa nauza Soda, Maji, Juice, Maziwa, Ice Cream na Barafu. Je, kipi niongeze au nipunguze katika biashara hii? Na changamoto zake hasa na zipi? Faida nayo inakaaje? Vipi kuhusu TRA nao wanasumbua au kitambulisho cha mjasiriamali kinatosha.
Ahsanteni.
Nimekuja na plan B ya kuanzisha biashara ya Soft Drinks nikiwa nimefanya research kiasi fulani. Nataka nitafute freezer (BOSS) litre100 na dell 2 za kuanzia kwa ajili ya kusambaza ice cream mashuleni na vinywaji baridi kwenye fremu niliyokuwa nafanyia biashara ya awali.
Nitakuwa nauza Soda, Maji, Juice, Maziwa, Ice Cream na Barafu. Je, kipi niongeze au nipunguze katika biashara hii? Na changamoto zake hasa na zipi? Faida nayo inakaaje? Vipi kuhusu TRA nao wanasumbua au kitambulisho cha mjasiriamali kinatosha.
Ahsanteni.