Biashara ya Solar

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,273
Reaction score
13,567
Heshima kwenu wakuu,

Naomba kujua gharama za kuingiza mzigo hasa unaohusu vifaa vya solar na betri zake kutoka Urusi.(Estimation of tax) nini wanachokiangalia wakati wakitoza kodi?

Nina jamaa yangu anayemiliki kiwanda cha kuzalisha bidhaa hizo,hivyo nataka kuanza kuwa supply wake hapa Tanzania.

Na ni nia gani rahisi kusafirisha mzigo na kwa gharama nafuu?

Pia nakaribisha mtu yeyote mwenye mtaji wake tuweze kushirikiana na kuanza kufanya biashara hiyo kwa pamoja.

Nasubiri michango yenu yenye kujenga Tz mpya ya viwanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…