Biashara ya Supplement, za bodybuilding na kawaida, hakuna udhibiti?

Biashara ya Supplement, za bodybuilding na kawaida, hakuna udhibiti?

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Habari katika Jamvi hili?
Ni kweli tunatambua Watanzania wengi wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali, yanayoanzia uzazi, unene ulipitiliza, misuli, nyonga, vidonda vya tumbe, BP, sukari, cancer, tezi dume.

Sasa kutokana na matatizo ya watanzania na wananchi kuwa na uelewa finyu juu ya Afya zao na ni nini wanahitaji katika kusaidia Mili yao , wamejikuta wakiingia katika ununuzi wa supplement mitandaoni , na wanaouza c madaktari Bali ni wafanya biashara. Nilishanga rafiki yangu tulisoma nae coz ambayo Haina udaktari hata chembe Sasa hivi anatangaza supplement mitandaoni na kutoa ushauri wa kitabibu, na Kusema dawa zao zinatibu vidonda, sukari, matatizo ya uzazi.
Sasa nimeona mitandao mingi Kuna madaktari makanjanja na washauri wamekuja na bizaa za supplement zifuatazo

1. Supplement za Wanyanyua misuli, wenzetu wanaita steroids, protein powder, hizi ni mahususi Kwa ajili ya wabeba vyumba, na ndani Huwa wanachanganya machemical ambayo baadae yanasababisha matatizo makubwa ya moyo, sawa hizi hazina kazi yoyote zaidi ya kusisimua misuli ikue. Sasa nimeona kina mama wanauziwa haya madawa wanadanganywa watapungua uzito, pia wasanii kama Harmonize, diamond ,etc nao ni wanunuzi wakubwa Kwa ajili ya kukuza misuli, Kwa maana gym effect Kuna aina ya mwili huwezi para. ULAYA mtu kabla hajatumia anaenda Kwa daktari ndo anamshauri, ila huku mfanyabiasharabanaleta mzigo Hana elimu, shida ni kuuza na kupata faida, dawa hizi ni ghali mno

2. Supplement za kutibu magonjwa ya kawaida, hatukatazi supplement , lakini kumekuwa na uhuni katika biashara hii na nyingine ndani yake Kuna ponz scheme au upatu. Kwanza wanaouza ni wengi, na wao wanatoa ushauri wa kitabibu na wengine hawajawahi hata Kusoma unesi, Kwa kuwa watanzania Wana matatizo wanatumia mwanya huo, hizo supplement wanasema zinatibu hataagonjwa hayana dawa aisee, cancer, sukari, etc na zinauzwa bei ya juu, watu wanategemea kupona kunywa hizi supplement lakini wapi, wengine wameuziwa za kupunguza unene Tena Kwa bei juu matokeo yake hamna, nasema hakuna dawa ya kupunguza unene zaidi ya kupunguza chakula na mazoezi.

Sisi sote tunajua nchi yetu Ina watu wajinga wengi, ndo mana wanatapeliwa kirahisi, wanaibiwa hata uchaguzi, Sasa naomba serikali iweke mkono wake katika biashara hizi angalau ziwe regulated, basi hata wanaouza waajiri daktari we anatoa prescription haiwezekani usanii Kila sehemu
 
Habari katika Jamvi hili?
Ni kweli tunatambua Watanzania wengi wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali, yanayoanzia uzazi, unene ulipitiliza, misuli, nyonga, vidonda vya tumbe, BP, sukari, cancer, tezi dume.

Sasa kutokana na matatizo ya watanzania na wananchi kuwa na uelewa finyu juu ya Afya zao na ni nini wanahitaji katika kusaidia Mili yao , wamejikuta wakiingia katika ununuzi wa supplement mitandaoni , na wanaouza c madaktari Bali ni wafanya biashara. Nilishanga rafiki yangu tulisoma nae coz ambayo Haina udaktari hata chembe Sasa hivi anatangaza supplement mitandaoni na kutoa ushauri wa kitabibu, na Kusema dawa zao zinatibu vidonda, sukari, matatizo ya uzazi.
Sasa nimeona mitandao mingi Kuna madaktari makanjanja na washauri wamekuja na bizaa za supplement zifuatazo

1. Supplement za Wanyanyua misuli, wenzetu wanaita steroids, protein powder, hizi ni mahususi Kwa ajili ya wabeba vyumba, na ndani Huwa wanachanganya machemical ambayo baadae yanasababisha matatizo makubwa ya moyo, sawa hizi hazina kazi yoyote zaidi ya kusisimua misuli ikue. Sasa nimeona kina mama wanauziwa haya madawa wanadanganywa watapungua uzito, pia wasanii kama Harmonize, diamond ,etc nao ni wanunuzi wakubwa Kwa ajili ya kukuza misuli, Kwa maana gym effect Kuna aina ya mwili huwezi para. ULAYA mtu kabla hajatumia anaenda Kwa daktari ndo anamshauri, ila huku mfanyabiasharabanaleta mzigo Hana elimu, shida ni kuuza na kupata faida, dawa hizi ni ghali mno

2. Supplement za kutibu magonjwa ya kawaida, hatukatazi supplement , lakini kumekuwa na uhuni katika biashara hii na nyingine ndani yake Kuna ponz scheme au upatu. Kwanza wanaouza ni wengi, na wao wanatoa ushauri wa kitabibu na wengine hawajawahi hata Kusoma unesi, Kwa kuwa watanzania Wana matatizo wanatumia mwanya huo, hizo supplement wanasema zinatibu hataagonjwa hayana dawa aisee, cancer, sukari, etc na zinauzwa bei ya juu, watu wanategemea kupona kunywa hizi supplement lakini wapi, wengine wameuziwa za kupunguza unene Tena Kwa bei juu matokeo yake hamna, nasema hakuna dawa ya kupunguza unene zaidi ya kupunguza chakula na mazoezi.

Sisi sote tunajua nchi yetu Ina watu wajinga wengi, ndo mana wanatapeliwa kirahisi, wanaibiwa hata uchaguzi, Sasa naomba serikali iweke mkono wake katika biashara hizi angalau ziwe regulated, basi hata wanaouza waajiri daktari we anatoa prescription haiwezekani usanii Kila sehemu
Au ulitaka kusemwa kwamba hizo dawa zinawafanya hao wabeba vyuma kuwa mabwabwa
 
Au ulitaka kusemwa kwamba hizo dawa zinawafanya hao wabeba vyuma kuwa mabwabwa
Hapana, wabeba vyuma inawasaidia kujenga misuli Kwa haraka, wengi wanatumia hizi, nimetoa mfano wa diamond na harmonize, umeona miili yao ilivyokatika ? Kawa wangekuwa wanaenda gym hawatumii dawa hizi milioni yao isingekatika namna hii. Diamond najua hata anaponunuliaga, najua wao ni muhimu Kwa kazi zao, muoneka mzuri
 
Habari katika Jamvi hili?
Ni kweli tunatambua Watanzania wengi wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali, yanayoanzia uzazi, unene ulipitiliza, misuli, nyonga, vidonda vya tumbe, BP, sukari, cancer, tezi dume.

Sasa kutokana na matatizo ya watanzania na wananchi kuwa na uelewa finyu juu ya Afya zao na ni nini wanahitaji katika kusaidia Mili yao , wamejikuta wakiingia katika ununuzi wa supplement mitandaoni , na wanaouza c madaktari Bali ni wafanya biashara. Nilishanga rafiki yangu tulisoma nae coz ambayo Haina udaktari hata chembe Sasa hivi anatangaza supplement mitandaoni na kutoa ushauri wa kitabibu, na Kusema dawa zao zinatibu vidonda, sukari, matatizo ya uzazi.
Sasa nimeona mitandao mingi Kuna madaktari makanjanja na washauri wamekuja na bizaa za supplement zifuatazo

1. Supplement za Wanyanyua misuli, wenzetu wanaita steroids, protein powder, hizi ni mahususi Kwa ajili ya wabeba vyumba, na ndani Huwa wanachanganya machemical ambayo baadae yanasababisha matatizo makubwa ya moyo, sawa hizi hazina kazi yoyote zaidi ya kusisimua misuli ikue. Sasa nimeona kina mama wanauziwa haya madawa wanadanganywa watapungua uzito, pia wasanii kama Harmonize, diamond ,etc nao ni wanunuzi wakubwa Kwa ajili ya kukuza misuli, Kwa maana gym effect Kuna aina ya mwili huwezi para. ULAYA mtu kabla hajatumia anaenda Kwa daktari ndo anamshauri, ila huku mfanyabiasharabanaleta mzigo Hana elimu, shida ni kuuza na kupata faida, dawa hizi ni ghali mno

2. Supplement za kutibu magonjwa ya kawaida, hatukatazi supplement , lakini kumekuwa na uhuni katika biashara hii na nyingine ndani yake Kuna ponz scheme au upatu. Kwanza wanaouza ni wengi, na wao wanatoa ushauri wa kitabibu na wengine hawajawahi hata Kusoma unesi, Kwa kuwa watanzania Wana matatizo wanatumia mwanya huo, hizo supplement wanasema zinatibu hataagonjwa hayana dawa aisee, cancer, sukari, etc na zinauzwa bei ya juu, watu wanategemea kupona kunywa hizi supplement lakini wapi, wengine wameuziwa za kupunguza unene Tena Kwa bei juu matokeo yake hamna, nasema hakuna dawa ya kupunguza unene zaidi ya kupunguza chakula na mazoezi.

Sisi sote tunajua nchi yetu Ina watu wajinga wengi, ndo mana wanatapeliwa kirahisi, wanaibiwa hata uchaguzi, Sasa naomba serikali iweke mkono wake katika biashara hizi angalau ziwe regulated, basi hata wanaouza waajiri daktari we anatoa prescription haiwezekani usanii Kila sehemu
Asante mkuu kwa kutenga muda wako kuleta hili jambo muhimu.
Hawa jamaa hawana tofauti na manabii sijui mitume,ndio hawahawa wanauza chumvi za upako n.k. Lkn sisi Watanganyika ni Wadanganyika kwelikweli na hata hili uliloeta hapa tutakubishia.
 
Mimi ni Mmoja wa wauzaji wa supplement kuanzia protein powder mpaka creatine.
Nauza kuanzia za kunywa mpaka za kupaka kuondoa mafuta.
Ila sijawahi kuuza steroids wapo wenzangu wanaouza japo kwa siri steroid za kuchoma zile na ndio Zina madhara makubwa mwilini.
Lakini hizo protein powder hazina madhara hayo unayoelezea mi nilifanya utafiti wa kutosha kabla ya kuingia kwenye hii biashara.
Karibu sana kwa nahitaji ya:-
whey protein Og kabisa ntakuuzia 110,000/= tu ofa ya sikukuu na ipo nyingine kilo moja 50,000/=

Creatine monohydrate ntakuuzia 60,000/= hii ni kiboko.

Kuanzia nyashi zipo supplement mpaka wazee wa kujaza mikono na kifua
 
Mimi ni Mmoja wa wauzaji wa supplement kuanzia protein powder mpaka creatine.
Nauza kuanzia za kunywa mpaka za kupaka kuondoa mafuta.
Ila sijawahi kuuza steroids wapo wenzangu wanaouza japo kwa siri steroid za kuchoma zile na ndio Zina madhara makubwa mwilini.
Lakini hizo protein powder hazina madhara hayo unayoelezea mi nilifanya utafiti wa kutosha kabla ya kuingia kwenye hii biashara.
Karibu sana kwa nahitaji ya:-
whey protein Og kabisa ntakuuzia 110,000/= tu ofa ya sikukuu na ipo nyingine kilo moja 50,000/=

Creatine monohydrate ntakuuzia 60,000/= hii ni kiboko.

Kuanzia nyashi zipo supplement mpaka wazee wa kujaza mikono na kifua
Mmh,
 
Steroids ndio zenye shida maana Huwa zinatanua misuli ya moyo tofauti na hizi poda tunazouza hizi ni supplement tu
Ooh,ntakutafuta mkuu,mi napiga gym kitambo ila kavu bila poda,na age yangu hii above 40 naona poda haifai,ila ntakutafutia wateja
 
Mimi ni Mmoja wa wauzaji wa supplement kuanzia protein powder mpaka creatine.
Nauza kuanzia za kunywa mpaka za kupaka kuondoa mafuta.
Ila sijawahi kuuza steroids wapo wenzangu wanaouza japo kwa siri steroid za kuchoma zile na ndio Zina madhara makubwa mwilini.
Lakini hizo protein powder hazina madhara hayo unayoelezea mi nilifanya utafiti wa kutosha kabla ya kuingia kwenye hii biashara.
Karibu sana kwa nahitaji ya:-
whey protein Og kabisa ntakuuzia 110,000/= tu ofa ya sikukuu na ipo nyingine kilo moja 50,000/=

Creatine monohydrate ntakuuzia 60,000/= hii ni kiboko.

Kuanzia nyashi zipo supplement mpaka wazee wa kujaza mikono na kifua
All the best
 
Mimi ni Mmoja wa wauzaji wa supplement kuanzia protein powder mpaka creatine.
Nauza kuanzia za kunywa mpaka za kupaka kuondoa mafuta.
Ila sijawahi kuuza steroids wapo wenzangu wanaouza japo kwa siri steroid za kuchoma zile na ndio Zina madhara makubwa mwilini.
Lakini hizo protein powder hazina madhara hayo unayoelezea mi nilifanya utafiti wa kutosha kabla ya kuingia kwenye hii biashara.
Karibu sana kwa nahitaji ya:-
whey protein Og kabisa ntakuuzia 110,000/= tu ofa ya sikukuu na ipo nyingine kilo moja 50,000/=

Creatine monohydrate ntakuuzia 60,000/= hii ni kiboko.

Kuanzia nyashi zipo supplement mpaka wazee wa kujaza mikono na kifua
Mawasiliano boss
Mimi ni Mmoja wa wauzaji wa supplement kuanzia protein powder mpaka creatine.
Nauza kuanzia za kunywa mpaka za kupaka kuondoa mafuta.
Ila sijawahi kuuza steroids wapo wenzangu wanaouza japo kwa siri steroid za kuchoma zile na ndio Zina madhara makubwa mwilini.
Lakini hizo protein powder hazina madhara hayo unayoelezea mi nilifanya utafiti wa kutosha kabla ya kuingia kwenye hii biashara.
Karibu sana kwa nahitaji ya:-
whey protein Og kabisa ntakuuzia 110,000/= tu ofa ya sikukuu na ipo nyingine kilo moja 50,000/=

Creatine monohydrate ntakuuzia 60,000/= hii ni kiboko.

Kuanzia nyashi zipo supplement mpaka wazee wa kujaza mikono na kifua
Mawasiliano boss
 
Kwanza nikushauri hizo unazoita dawa kitaalamu sio dawa. Supplements Duniani kote haziwekwi kundi la dawa Bali ni kundi la Vyakula. Ndio maana hazihiitaji sheria za uchunguzi kama zinazofanyika kwenye dawa (medicines)

Kwenye issue za uuzaji kwa kweli kuna changamoto kubwa, wauzani wamekuwa wakizipromote kutibu magonjwa tofauti na dhumuni la supplements. Mara nyingi nimejaribu ku advocacy katika makundi mbali mbali ya wauza supplements, ila wanaouziwa hawaelewi watakuita kila majina na kila group mmiliki ameweka watu wa kushambulia watu watakaopinga maelezo ya daktari wa mchongo.
 
Habari katika Jamvi hili?
Ni kweli tunatambua Watanzania wengi wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali, yanayoanzia uzazi, unene ulipitiliza, misuli, nyonga, vidonda vya tumbe, BP, sukari, cancer, tezi dume.

Sasa kutokana na matatizo ya watanzania na wananchi kuwa na uelewa finyu juu ya Afya zao na ni nini wanahitaji katika kusaidia Mili yao , wamejikuta wakiingia katika ununuzi wa supplement mitandaoni , na wanaouza c madaktari Bali ni wafanya biashara. Nilishanga rafiki yangu tulisoma nae coz ambayo Haina udaktari hata chembe Sasa hivi anatangaza supplement mitandaoni na kutoa ushauri wa kitabibu, na Kusema dawa zao zinatibu vidonda, sukari, matatizo ya uzazi.
Sasa nimeona mitandao mingi Kuna madaktari makanjanja na washauri wamekuja na bizaa za supplement zifuatazo

1. Supplement za Wanyanyua misuli, wenzetu wanaita steroids, protein powder, hizi ni mahususi Kwa ajili ya wabeba vyumba, na ndani Huwa wanachanganya machemical ambayo baadae yanasababisha matatizo makubwa ya moyo, sawa hizi hazina kazi yoyote zaidi ya kusisimua misuli ikue. Sasa nimeona kina mama wanauziwa haya madawa wanadanganywa watapungua uzito, pia wasanii kama Harmonize, diamond ,etc nao ni wanunuzi wakubwa Kwa ajili ya kukuza misuli, Kwa maana gym effect Kuna aina ya mwili huwezi para. ULAYA mtu kabla hajatumia anaenda Kwa daktari ndo anamshauri, ila huku mfanyabiasharabanaleta mzigo Hana elimu, shida ni kuuza na kupata faida, dawa hizi ni ghali mno

2. Supplement za kutibu magonjwa ya kawaida, hatukatazi supplement , lakini kumekuwa na uhuni katika biashara hii na nyingine ndani yake Kuna ponz scheme au upatu. Kwanza wanaouza ni wengi, na wao wanatoa ushauri wa kitabibu na wengine hawajawahi hata Kusoma unesi, Kwa kuwa watanzania Wana matatizo wanatumia mwanya huo, hizo supplement wanasema zinatibu hataagonjwa hayana dawa aisee, cancer, sukari, etc na zinauzwa bei ya juu, watu wanategemea kupona kunywa hizi supplement lakini wapi, wengine wameuziwa za kupunguza unene Tena Kwa bei juu matokeo yake hamna, nasema hakuna dawa ya kupunguza unene zaidi ya kupunguza chakula na mazoezi.

Sisi sote tunajua nchi yetu Ina watu wajinga wengi, ndo mana wanatapeliwa kirahisi, wanaibiwa hata uchaguzi, Sasa naomba serikali iweke mkono wake katika biashara hizi angalau ziwe regulated, basi hata wanaouza waajiri daktari we anatoa prescription haiwezekani usanii Kila sehemu
Hapo kuna pointi nimeipata kwamba, kuna miili hata upige jimu vipi mwili hauongezeki mana ni mkavu kwa asili yaani mdumavu. Ukiona mwili wako uko hivyo kuna ubaya gani kufanya mazoezi ya kutoa jasho tu kuliko kunywa kemikali!
 
Back
Top Bottom