biashara ya Tanzanite

SWAZI

Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
87
Reaction score
19
Hii inalipa au?

Kuna mtu kaniambia anao mzigo nimtafutie masoko ya nje ya nchi lakini mimi sijui cha kufanya kwani naskia ma Chinese ndio wanunuzi wakubwa lakini hapa bongo nako naambiwa kuwa mzigo umekuwa mwingi mno kiasi cha kuwa hakuna soko

hebu wajuzi tuwekeeni sawa juu ya hiii biashara.
 
Biashara ya mawe uko tricky sana ,just be careful ..ni headache flani
 

mkuu nipatie bei top color wanauzaje @carrat!!!!!!nijuze kama iko chini tuwasiliane
 
Jamani sikilizeni kwanza tanzanite haikosi soko hata Kama ww Una point 3 inauzikatu hayo masoko yandani.
Mtu anaekwambia hakuna masoko, Mzigo ni mwingi ni muongo, na Kama huyajui hayo madini usiingie Ktk hiyo biashara,
Mm ninae kwambia hv ninafanya kazi ktk machimbo ya tanzanite merelani. Masoko ya tanzanite kwa ndani ya nchi ni Arusha.
 
If you have that kind of stone call me +85259199970 for over seas market
 

kwel mkuu kama bado anayo aje ni mtafutie soko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…