Biashara ya Tax Dar ni gari gani inafaa zaidi?

Biashara ya Tax Dar ni gari gani inafaa zaidi?

SOKO LA MAGARI

Senior Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
115
Reaction score
66
BIASHARA YA TAX DAR NI GARI GANI INAFAA ZAIDI?

Wadau wa hiyo biashara hapo juu,

Naomba kupata ushauri kwa aina ya gari inayofaa ili kukuwezesha kupata faida kama mmiliki na kuwakabidhi madereva kwa hesabu maalumu hasa ukizingatia mambo kadhaa muhimu.

Yafuatayo ni baadhi tu:

1. Matumizi mazuri ya mafuta
2. Mvuto kwa wateja aina zote
3. Uimara na uvumilivu wa gari kwa mazingira yetu
4. Gharama zingine za uendeshaji
5. Upatikanaji wa spare na mafundi wake
6. Bei yake au gharama za kuinunua/kuipata
7. Ukubwa wa engine
Na mengine mengi
Najua zipo gari nyingi sana mitaani TOYOTA, NISSAN, HONDA , MAZDA, SUZUKI, DAIHATSU
 
mkuu najua umeishaamua kabisa kuingia kwny taxi lkn taxi nasikia kila siku wanalalamika uber,uber
 
Jamani Mimi napenyeza na shida zangu hapa, Mosi, Kwanza nahitaji Kiwanja cha makazi ningependelea mbezi ya kimara, Makabe n.k Shida ya Pili,, Ninaomba kujua bei ya GARI Kilikuu, na Tax Carina au corola.ili nichague GARI mojawapo ambayo nitaimudu kuinunua. MAMBO YOTE YANAENDA SAMBAMBA. HIVYO MWENYE DETAIL ANIFAHAMISHE
 
Jamani Mimi napenyeza na shida zangu hapa, Mosi, Kwanza nahitaji Kiwanja cha makazi ningependelea mbezi ya kimara, Makabe n.k Shida ya Pili,, Ninaomba kujua bei ya GARI Kilikuu, na Tax Carina au corola.ili nichague GARI mojawapo ambayo nitaimudu kuinunua. MAMBO YOTE YANAENDA SAMBAMBA. HIVYO MWENYE DETAIL ANIFAHAMISHE
Kwa kiwanja ninacho Kibaha Mailimoja4.5 km kutoka mizani tuwasiliane 0625 555 810
 
Back
Top Bottom