Biashara ya Transport

Biashara ya Transport

Heri

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2007
Posts
605
Reaction score
512
Ninaomba kupata ushauri juu ya biashara ya transport pamoja na changamoto zake hasa kwenye upande wa operations.
Ninafikiria kufanya hii biashara na ningependa kufahamu wapi pa kuanzia yaani aiana mfano Fuso (less than 10 tons) au rigid bodies (ton 10 - 20) na semi trailers.
 
Inategemea mtaji wako. Changamoto ni kwenye kupata dereva mwaminifu, bei ya diesel, spares, na kupata mizigo
 
Back
Top Bottom