Mechanic 97
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 854
- 1,296
Wakuu Ina kuaje hapo kama mtu atataka kupata walau Hela ya kula tu kama 100k Tsh. Kwa biashara hii ya uchoraji wa michoro ya kiufundi kama vile ramani za nyumba na etc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mkonoKwa mkono au computer [emoji2773] [emoji335] R.i.p uncle alikua na UWEZO ANAKUANGALIA ANA KUCHORA Kama ulivyo yaan copyright [emoji2399]
Na pole Kwa uncle wakoKwa mkono au computer [emoji2773] [emoji335] R.i.p uncle alikua na UWEZO ANAKUANGALIA ANA KUCHORA Kama ulivyo yaan copyright [emoji2399]
Ni nzuri ukiweka kijiwe mjiniKwa mkono
tunaogopa yani unamchora raisi ila ukiichana au kuchoma jeraWakuu wazoefu na hii biashara vipi Ina lipa walau mtu apate hata 100k Tsh ya kula tu. Kama sawa basi naombeni mchanganuo wa hata vifaa vya kuanza navyo
Nipate walau pesa ya mahari ya kujua kutoa kwenuKwani unatakaje?
Haya karibu😉Nipate walau pesa ya mahari ya kujua kutoa kwenu
Laaah! Njoo hata pm basi unipe mwelekeoHaya karibu[emoji6]
Sawa,usijali😊Laaah! Njoo hata pm basi unipe mwelekeo
Mtafute PICHA MBAOWakuu Ina kuaje hapo kama mtu atataka kupata walau Hela ya kula tu kama 100k Tsh. Kwa biashara hii ya uchoraji wa michoro ya kiufundi kama vile ramani za nyumba na etc
Mbona hujajaSawa,usijali😊