Habari za majukumu wanajamvi, matumaini yangu mnachukua taadhari dhidi ya janga hili la Corona.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi ni binti miaka 25 nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa sijabahatika kupata ajira rasmi ila nnajishughulisha na shughuli za hapa na pale mradi mkono uende kinywani.
Ninatamani kuanzisha biashara ya kuuza uji katika sehemu zenye watu wengi. Kwa sasa naishi Iringa. Malengo yangu ni kuwa na sehemu kama 10 za kuuza uji (sio ofisi bali vijana wa kutembeza katika maeneo hayo 10) asubuhi na jioni kwa mtaji wa sh 300,000.
Naomba kwa mwenye ujuzi au uzoefu au hata mawazo bunifu au ushauri wowote juu ya biashara hii.
Asante.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi ni binti miaka 25 nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa sijabahatika kupata ajira rasmi ila nnajishughulisha na shughuli za hapa na pale mradi mkono uende kinywani.
Ninatamani kuanzisha biashara ya kuuza uji katika sehemu zenye watu wengi. Kwa sasa naishi Iringa. Malengo yangu ni kuwa na sehemu kama 10 za kuuza uji (sio ofisi bali vijana wa kutembeza katika maeneo hayo 10) asubuhi na jioni kwa mtaji wa sh 300,000.
Naomba kwa mwenye ujuzi au uzoefu au hata mawazo bunifu au ushauri wowote juu ya biashara hii.
Asante.