Biashara ya urembo kwa akina dada

Biashara ya urembo kwa akina dada

Mimi Melki

Senior Member
Joined
Mar 31, 2022
Posts
155
Reaction score
259
Naomba kuuliza, mbali na kubandika na kupaka rangi kucha! Ni kitengo kipi cha saloon za kike kinachoweza kufanywa huku ukitembea kuwafuata wahusika?

Pia, kwa yeyote mwenye ujuzi wa biashara ya kubandika na kupaka rangi kucha naomba anieleze ni mtaji kiasi gani unaohitajika na vifaa vinavyotakiwa! Pia aliye na uzoefu kwenye rangi za unga na Gel anipatie mwongozo akihusisha bei zake dukani!

Bila kusahau kwa anaefahamu sehemu ambayo nitapata mafunzo ya jinsi ya kufanya biashara hii kwa hapa Dar anifahamishe! Kwa anaependekeza kujifunza kupitia videos za You Tube ni bora zaidi anipatie mwongozo!

Nawasilisha...

images%20(5).jpg
 
Kama una frame weka ni vipodozi.

Ila kwenye suala la kucha awa muha wanaringa sana jifunze mwenye kupaka rangi, rangi bei rahisi sana nunua jifunze ndani ili baadaye uwe unafanya mwenyewe.

Changamoto za izo kazi unaweza ukapigwa kipigo cha mbwa mwitu kisa mke wa mtu anakutaja taja sana yaani shobo nyingi so be carefull japo shobo ni nzuri kwenye biashara.
 
Kama una frame weka ni vipodozi.

Ila kwenye suala la kucha awa muha wanaringa sana jifunze mwenye kupaka rangi, rangi bei rahisi sana nunua jifunze ndani ili baadaye uwe unafanya mwenyewe.

Changamoto za izo kazi unaweza ukapigwa kipigo cha mbwa mwitu kisa mke wa mtu anakutaja taja sana yaani shobo nyingi so be carefull japo shobo ni nzuri kwenye biashara.
Khaaaa 😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom