Biashara ya urembo

Biashara ya urembo

Luckme

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
713
Reaction score
758
Wapendwa habarini za mda huu....me nnawazo la kufanya biashara ya urembo kwajiri ya kinadada na wakaka....kuuza. Mafuta& lotion,hereni bangiri vibanio na mambo mengine kama hayo ....nombeni mnipe mwanga wa nianze na mtaji wa shngapi pia changamoto za hio biashara na faida zake na machimbo ya kujumua vitu ivo kama ni kariakoo au wapi....tufunguane macho jaman natanguliza shukrani zangu

am better here
 
Back
Top Bottom