habari, kwanza hongera kwa kuwaza angalau kufanya shughuli nyingine nje ya kazi uliyoajiliwa. Lakini nina machache ya kuchangia and you may take them or decide to leave as they are. Katika hii sekta ya biashara ya daladala yapo mengi ambayo beginner anatakiwa kuyafahamu vizuri na kwa bahati mbaya wengi huwa hawapati fursa hiyo ya kuyafahamu mambo hayo na hivyo kuishiwa kushawishiwa kwa muonekano wa macho mfano kuwa gari kwa siku itaniingizia kiasi kadhaa pasipo kuwaza kuhusu gharama nyinginezo. Nina maswali machache ambayo kama hujajiuliza ni vema ujiulize sasa; hivi mbali na kuitamani biashara hiyo, umefanya deep research kuihusu?, vipi kuhusu gharama za vibali vya mamlaka zote zinazosimamia biashara hiyo?, vipi kuhusu uaminifu wa watu unaopanga kuwaweka kama waendesha mradi? umesema hiyo gari ni 12M, hivi ipo kwenye hali gani na itahitaji matengenezo yatakayogharimu kiasi gani? mbali na hiyo elfu hamsini unayoisema, hivi umewaza ile kitu wazungu wanaita Return on Investment(RoI) inakaa vipi hapo? kama maswali hayo utayajibu na majibu yake yakaja na kuwa positive kwa upande wako keep on na nikutakie kila la kheri katika biashara yako hiyo mpya.
Anyway, kama majibu ya maswali ya hapo juu yanaonesha kwamba mradi utafail ngoja nikushauri kitu; mimi ninajishughulisha na biashara ya samaki katika ziwa Rukwa upande wa Sumbawanga na nina uzoefu na biashara hiyo. Kama utaweza tafuta 3Mil. njoo uwekeze huku katika biashara hii na ikulipe 100,000/ (laki moja) kila siku. Najua uaminifu ni mgumu kwa wakati tulionao hivyo katika kuliweka sawa, kwa kuwa wewe ni muajiliwa pesa mpe hata ndugu yako yeyote unaemuamini na ndiye atakuwa cashier yaani atatoa hela where there is due reason to do that. Mimi nitakuwa ni director tu wa kumuelekeza kipi cha kufanya na namna ya ufanyaji wa kazi lakini BIASHARA TUTAIMILIKI PAMOJA mimi na wewe na mgawanyo utakaozidi baada ya hiyo laki moja yako kutolewa itakua ni makubaliano yetu binafsi. Nunafanyia shughuli zangu katika fordha za Ilanga na Kamchanga.
If interested, kindly nifuate DM tuyajenge.