Mimi pia nimeingia bila kuielewa vizuri biashara hio hivyo tusubiri wenye uelewa mzury watufahamisheAmani iwe kwenu wana JF
Kama heading ilivo
Naitamani sana hii Biashara ya usafirishaji wa abiria hasa hasa ya haice ndo ninapotaka kuanzia kabla sijaingia kwenye mabasi makubwa, Mwenye ujuzi nayo naomba anidokezee vipi inaendeshwa faida yake changamoto n.k
kuna kauli mbili kwenye hii biashara. Je, ni biashara pasua kichwa kweli kama wengi wanavodai au ni biashara ambayo inaweza kukufanya kua milionea ndani ya muda mfupi, hizi ni kauli zinazonipa utata sanaa...
Karibuni kwa mawazo yenu
Wasaalam
Nakushauri, kwa kifupi tu. Tafuta biashara nyingine ufanye na sio ya daladala.Amani iwe kwenu wana JF
Kama heading ilivo
Naitamani sana hii Biashara ya usafirishaji wa abiria hasa hasa ya haice ndo ninapotaka kuanzia kabla sijaingia kwenye mabasi makubwa, Mwenye ujuzi nayo naomba anidokezee vipi inaendeshwa faida yake changamoto n.k
kuna kauli mbili kwenye hii biashara. Je, ni biashara pasua kichwa kweli kama wengi wanavodai au ni biashara ambayo inaweza kukufanya kua milionea ndani ya muda mfupi, hizi ni kauli zinazonipa utata sanaa...
Karibuni kwa mawazo yenu
Wasaalam