Father of All,uliyosema ni kweli kabisa,ila inawezekana hana idea na hii biashara,kwa kweli hii biashara inahitaji refferals au agents wa kukuletea wageni,na utakuwa unacheza na exchange rates,kwa mikoa ya huku kaskazini hasa Arusha hii ndio biashara ya wengi.
ningefurahi kama ungekuwa more specific kuhusu utalii wa ndani maana kuna cultural tourism-ambayo wanatembelea vijijini,alternative tourism-kama volunteering,wildlife tourism,safari's,heritage,geo-tourism,film tourism....ziko nyingi sana.ukiwa specific ni maeneo gani unafanyia unaweza ukashauriwa vyema zaidi.
NB:mtaji ni mkubwa,by one way or another utahitaji gari ya watalii,,kwa mfano...nyingi ni landcruiser hardtop,used inatembea kwa M.20 za kitanzania,ukate mlango wa nyuma,kuweka bullbars,na ku-customize inaweza ikala 3M tena....kwa zile wanazoita war-bus,used zinapatikana kwa M.40.......na kwa kukodi si chini ya USD 200 kwa siku
warbus ndo ziko hivi