SirMayombo
Member
- Oct 3, 2018
- 5
- 3
Madini gani?Habari wana JF,
Naitwa Mayombo nimekuja kwenu kuomba ufafanuzi kwa yeyote mwenye experience na biashara hii ya uuzaji na ununuzi wa madini hapa nchini
1. Hatua gani za kufuata kisheria?
2. Inahitaji pesa kiasi gani kama mtaji?
3. Changamoto zikoje na faida?
Tafadhari naomba msaada ili nijifunze lakini tupate somo kwa wana JF wote. Ahsante
Kununua madini ya dhahabu iliyochomwa mkuuMadini ya aina gani?
Kama ni dhahabu:-
1. Kununua maduara Ili utoe madini ya dhahabu na kuyauza?
2. Kununua viroba vyenye mchanga wenye madini ya dhahabu?
3. Kununua madini ya dhahabu ambayo BADO haijachomwa?
4. Kununua madini ya dhahabu iliyochomwa?
Mtaji wangu ni kama 2M mkuuUna pesa lakini?
Mtaji wangu ni kama 2M mkuu
Madini ya aina gani?
Kama ni dhahabu:-
1. Kununua maduara Ili utoe madini ya dhahabu na kuyauza?
2. Kununua viroba vyenye mchanga wenye madini ya dhahabu?
3. Kununua madini ya dhahabu ambayo BADO haijachomwa?
4. Kununua madini ya dhahabu iliyochomwa?
Muhimu umuone kalumanzila kabla ya kuanza hiyo biashara vinginevyo madini yatakua yanapotelea mfukoni kimzaha