Biashara ya viatu vya mtumba

Onlyobby

New Member
Joined
Oct 30, 2021
Posts
2
Reaction score
1
Habar wana jf,

Naombeni muongozo kwa mwenye uwelewa wa mazingira ya Mwanza anipe mwanga ni wap naweza pata viatu vya mtumb (raba) kwa ajili ya biashara.

Ningependa ufaham n wapi na lin naweza kwenda n ku point raba kali na ninatakiw niwe na mtaj kiasi gan, (unatakiwa kupoint kuanzia pair ngap) ahsanteni,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…