Biashara ya vibua mikoani

slow_learner

Senior Member
Joined
Nov 24, 2016
Posts
139
Reaction score
110
Jamani habari za humu wana JF.

Napenda kuulizia kwa wale wanaojishughulisha na biashara ya samaki. Hivi samaki aina ya vibua ukiwapeleka mikoani kwa ajili ya mauzo wanauzika?

Wajasiriamali nisaidieni kujua hili maana nafikiria kuanza kusafirisha samaki kupeleka mikoani kama vile Singida na Tabora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…