M MAKULUGA JF-Expert Member Joined Jan 21, 2011 Posts 7,828 Reaction score 10,527 Oct 31, 2017 #1 Salamu,naomba kujua kuhusu biashara ya vifaa simu ...chaja,earphone ,pbank,nk .Bei na upatikanaje wake. Nataka kufanya biashara na wanachuo.
Salamu,naomba kujua kuhusu biashara ya vifaa simu ...chaja,earphone ,pbank,nk .Bei na upatikanaje wake. Nataka kufanya biashara na wanachuo.
LIKE JF-Expert Member Joined Dec 17, 2013 Posts 4,755 Reaction score 9,889 Oct 31, 2017 #2 KYALOSANGI said: Salamu,naomba kujua kuhusu biashara ya vifaa simu ...chaja,earphone ,pbank,nk .Bei na upatikanaje wake. Nataka kufanya biashara na wanachuo. Click to expand... Uko wapi?
KYALOSANGI said: Salamu,naomba kujua kuhusu biashara ya vifaa simu ...chaja,earphone ,pbank,nk .Bei na upatikanaje wake. Nataka kufanya biashara na wanachuo. Click to expand... Uko wapi?
sergio 5 JF-Expert Member Joined May 22, 2017 Posts 9,405 Reaction score 10,637 Oct 31, 2017 #3 Ni ngumu sana mkuu
M MAKULUGA JF-Expert Member Joined Jan 21, 2011 Posts 7,828 Reaction score 10,527 Oct 31, 2017 Thread starter #4 Heller said: Uko wapi? Click to expand... Nipo Dodoma
M MAKULUGA JF-Expert Member Joined Jan 21, 2011 Posts 7,828 Reaction score 10,527 Oct 31, 2017 Thread starter #5 sergio 5 said: Ni ngumu sana mkuu Click to expand... Kivipi mkuu...dadavua
Emmanuel TM Member Joined Sep 25, 2017 Posts 67 Reaction score 88 Oct 31, 2017 #6 Kwa dodoma iko poa. Kama utakuwa serious nikupe no ya kuanzia kwa mtu uwe unamtumia pesa anakutumia mzigo kutoka Dar
Kwa dodoma iko poa. Kama utakuwa serious nikupe no ya kuanzia kwa mtu uwe unamtumia pesa anakutumia mzigo kutoka Dar