sheby dunia
Member
- Jul 12, 2018
- 78
- 83
MoroUpo sehemu gani?
Protectors, cover, earphone, charger na batteryUnataka uuze covers?
Earphones?
chargers
Protectors
Batteries
LCDs
..Basi hiyo Ni pesa kidogo Sana Ila nikijua location na walengwa wako/wateja nitakushauri.
Sijawahi fika Ila Kama wateja wako/walengwa Ni wapenda vitonga...wananchi wa Hali ya chini ..Moro
Inatosha mkuu Tafuta maduka ya wholesale yaliyo karibu nawe..Protectors cover earphne charger na battery
Poa kaka na vipi kuhusu faidasijawahi fika Ila Kama wateja wako/walengwa Ni wapenda vitonga...wananchi wa Hali ya chini ..
Anza na earphones za buku Mia mbili kwa buku Mia 3 whole sale..
Covers Autofocus nyingi zinakuwa black in colour Bei 1000,1500 elfu mbili kwa whole sale..
Batteries za simu ndogo viswaswadu.. za buku buku jero whole sale..
Housings za simu..nokia.sana Sana..bse ndo zilizopo available .sokoni
Bei Ni buku Kwa housing Pekee ..na buku jero kwa housing yenye motherboard...
Kuongeza kipato na kuvutia wateja ..mtaji ukikuwa au Kama unaweza azima ..tafuta computer Tia nyimbo na sizoni...
Uza..
Pia usisahau kuuza memory cards flash disks..
Za kiwango Cha chini na Cha juu(Fake na original)
Karibu mkuu.
Faida inategemea na wewe unataka kwenye kila item sh ngapi...Poa kk na vp kuhusu faida
Poa kaka unapaikana mkoa gani?mkuu hiyo pesa ni kubwa sana na kama ukipata location nzuri faida inakuja kama huo mtaji wako.
ila fanya kwanza utafiti wa wateja wako maana waweza weka vifaa ambavyo wateja wako hawavihitaji.
50 cent katika kitabu chake 50th law anasema " start even if you are not ready". mtaji haujawahi tosha hata siku moja.
Kama unahitaji msaada njoo pm mkuu ni burePoa kaka unapaikana mkoa gan
Sitaki kuusikia huo ufund maana hapa yenyewe ni fundi PC ndomana nataka nifungue BIASHARA engine MNA ufundi stress Mara polisi yaani bora niwe mganga kuliko kuweka ufundi simu ndio maana natafuta BIASHARA engine itakua haina stress na lawama kama ufundi. Unapga laki Leo kesho unapasua kioo cha A20 unaenda kulipa polisi 170k. Full stress.Weka na ufund simu hapo unapofanya hayo mambo
Mbona hatariSitak kuusikia uo ufund mana hapa enyew nifund PC ndomana ntaka nfungue BIASHARA engine MNA ufund stress Mara polisi yan bora niwe mganga kuliko kueka ufund simu.ndo mna ntafuta BIASHARA engine itakua haina stress na lawama kma ufund.unapga lak Leo kesho unapasua kioo cha A20 unaenda kulipa polisi 170k.full stress.
Ha ha ha unakuwa fundi unategemea pesa ya mteja lazima uwe na stressSitaki kuusikia huo ufund maana hapa yenyewe ni fundi PC ndomana nataka nifungue BIASHARA engine MNA ufundi stress Mara polisi yaani bora niwe mganga kuliko kuweka ufundi simu ndio maana natafuta BIASHARA engine itakua haina stress na lawama kama ufundi. Unapga laki Leo kesho unapasua kioo cha A20 unaenda kulipa polisi 170k. Full stress.
Nimejaribu kufatilia yule babu YouTube japo yupo slow nakomaa nae mdogo mdogoWeka na ufundi simu hapo unapofanya hayo mambo
HongeraSitaki kuusikia huo ufund maana hapa yenyewe ni fundi PC ndomana nataka nifungue BIASHARA engine MNA ufundi stress Mara polisi yaani bora niwe mganga kuliko kuweka ufundi simu ndio maana natafuta BIASHARA engine itakua haina stress na lawama kama ufundi. Unapga laki Leo kesho unapasua kioo cha A20 unaenda kulipa polisi 170k. Full stress.