Mkuu hii biashara ilikuwa More Profitable zamani hizo, kabla Dunia haijawa kijiji, hivi sasa Watalii wengi wanao kuja Tanzania hawana haja ya Kununua Vinyago tena kwa sababau maduka ya huko kwao vimejaa tena cha ajabu vinauzwa bei ya Chini kuliko huku Tanzania,
Kwa sasa watu wana export sana Vinyago kwa njia za DHL na zingine kwenda kwenye Maduka ya vitu vay kitalii huko Ulaya na Marekani,
ila jaribu kuongea na wanao fanya hii biashara, watakupa more detail, na unaweza kufanya biashara ya vitu vingine vya asili kwani viko vingi tu