Biashara ya Vinywaji Baridi Kwa Bei ya Jumla

Biashara ya Vinywaji Baridi Kwa Bei ya Jumla

KingPower

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
1,115
Reaction score
1,807
Habari wakuu poleni na majukumu

Nina wazo la kufungua Biashara ya vinywaji baridi Kwa bei ya Jumla Kwa maeneo ya Tanga.

Nilikua naomba kujua je mtaji wa kiasi gani naweza kuanza nao? (Kima cha chini)

Na Je iliuanze biashara ya Jumla unahitaji kununua kuanzia katoni ngapi Kweny Deposit?

Pia Kwa anayeyajua machimbo au Deposit ambapo unaweza kwenda kuchukua mzigo naomba anielekeze

Naomba kuwasilisha .
 
Una maanisha uuuze Soda,chupa n take away na vinywaji vingine vyote vikiwa vya baridi au sijaelewa?

Maana ya kusema uuze vinywaji baridi hapo ulimaanisha nini boss?
 
Ooh sawa, nilimaanisha soft drinks
Una maanisha uuuze Soda,chupa n take away na vinywaji vingine vyote vikiwa vya baridi au sijaelewa?

Maana ya kusema uuze vinywaji baridi hapo ulimaanisha nini boss?
 
Cha kwanza kabisa ni kuchagua eneo /location ambao Kuna maduka madogo madogo , maeneo yenye gorossary nyingi, Kiujumla eneo liwe limechangamka, Faida kwenye vinywaji ni ndogo sana , kunahitajika update mzunguko mkubwa.
Bidhaa za kuwwka:-
Azam - Azam energy, Ember juice, apple punch, malt , coffee malt, ukwajuu, Swiss, fursana, cola, tangawazi. Maji ya Uhai size zote.
MOE- Moe Xtra, Maji yake, juice ndogo aina Pride , malt ya nanasi
Sayona:- Soda za tangawazi , sayona soda na Maji
Oilcom (watercom) ; Maji afya, energy zake na soda za afya
Pepsi Cola; soda zao zenye soko sana ni Pepsi hizi nyingine chukuwa kidogo na Sasa Wana Pepsi max inakimbiza sokoni.
Coca cola; soda zao zote karibu zinatoka sana
Coca cala nunuwa sana hizo ndogo za take away maana mtaji wake ni manunuzi hakuna creti Wala chupa, piya weka take away. Kubwa.
NB:- Tengeneza mikokoteni mitatu ya tairi za baiskeli ya kusambazia bidhaa Kwa wateja.
Hakikisha Cha kwanza Kila siku nikupigie simu wateja nakuwaulizia uwapelekie bidhaa sio ukae dukani usubiri wteja. Hakikisha unakwenda kutafuta wateja huko makwao. Sio unaka tu.
ANGALIZIO Faida Kwa soda ndogo na Maji madogo. Isizidi 200/250/= per cartoon. Soda kubwa take away na creti. Iwe 500/= mchawi wako nikuongeza maudho.
Nenda depot yoyote hizo company au piga simu toa order watakuletea mzigo Hadi ofsini kwako.
Mwanzoni chukuwa mzigo kidogo kidogo kujuwa eneo husika wanapenda product Gani? Ila kuna zile common kukimbiza ni kawaida mfano Azam energy, Moe Xtra inauza, na nyingine. Piya sio vibaya ukapita maduka yaliyojirana na eneo unalotaka kufungua ofisi Uwezi kuona bidhaa Gani wanaxzo Kwa wingi? Bei zao? Huduma zao zipojee? Eli wewe uanzie hapo.
 
Shukrani sna Mkuu Kwa mchango wako!,
Cha kwanza kabisa ni kuchagua eneo /location ambao Kuna maduka madogo madogo , maeneo yenye gorossary nyingi, Kiujumla eneo liwe limechangamka, Faida kwenye vinywaji ni ndogo sana , kunahitajika update mzunguko mkubwa.
Bidhaa za kuwwka:-
Azam - Azam energy, Ember juice, apple punch, malt , coffee malt, ukwajuu, Swiss, fursana, cola, tangawazi. Maji ya Uhai size zote.
MOE- Moe Xtra, Maji yake, juice ndogo aina Pride , malt ya nanasi
Sayona:- Soda za tangawazi , sayona soda na Maji
Oilcom (watercom) ; Maji afya, energy zake na soda za afya
Pepsi Cola; soda zao zenye soko sana ni Pepsi hizi nyingine chukuwa kidogo na Sasa Wana Pepsi max inakimbiza sokoni.
Coca cola; soda zao zote karibu zinatoka sana
Coca cala nunuwa sana hizo ndogo za take away maana mtaji wake ni manunuzi hakuna creti Wala chupa, piya weka take away. Kubwa.
NB:- Tengeneza mikokoteni mitatu ya tairi za baiskeli ya kusambazia bidhaa Kwa wateja.
Hakikisha Cha kwanza Kila siku nikupigie simu wateja nakuwaulizia uwapelekie bidhaa sio ukae dukani usubiri wteja. Hakikisha unakwenda kutafuta wateja huko makwao. Sio unaka tu.
ANGALIZIO Faida Kwa soda ndogo na Maji madogo. Isizidi 200/250/= per cartoon. Soda kubwa take away na creti. Iwe 500/= mchawi wako nikuongeza maudho.
Nenda depot yoyote hizo company au piga simu toa order watakuletea mzigo Hadi ofsini kwako.
Mwanzoni chukuwa mzigo kidogo kidogo kujuwa eneo husika wanapenda product Gani? Ila kuna zile common kukimbiza ni kawaida mfano Azam energy, Moe Xtra inauza, na nyingine. Piya sio vibaya ukapita maduka yaliyojirana na eneo unalotaka kufungua ofisi Uwezi kuona bidhaa Gani wanaxzo Kwa wingi? Bei zao? Huduma zao zipojee? Eli wewe uanzie hapo.
 
Una maanisha uuuze Soda,chupa n take away na vinywaji vingine vyote vikiwa vya baridi au sijaelewa?

Maana ya kusema uuze vinywaji baridi hapo ulimaanisha nini boss?
Ninavyojua mimi vinywaji baridi ni vinywaji visivyo na kilevi
 
Ninavyojua mimi vinywaji baridi ni vinywaji visivyo na kilevi
Vinywaji laini (soft drinks) na siyo vinywaji baridi (cold drinks). Hata bia inaweza itwa kinywaji baridi pale inapokuwa ya baridiii
 
Habari wakuu poleni na majukumu

Nina wazo la kufungua Biashara ya vinywaji baridi Kwa bei ya Jumla Kwa maeneo ya Tanga.

Nilikua naomba kujua je mtaji wa kiasi gani naweza kuanza nao? (Kima cha chini)

Na Je iliuanze biashara ya Jumla unahitaji kununua kuanzia katoni ngapi Kweny Deposit?

Pia Kwa anayeyajua machimbo au Deposit ambapo unaweza kwenda kuchukua mzigo naomba anielekeze

Naomba kuwasilisha .
Mtaji wa kwanza siyo pesa kiasi gani, mtaji wa kwanza ni wewe mwenyewe, anza na mtaji wowote ulionao, Itawezekana.
 
Habari wakuu poleni na majukumu

Nina wazo la kufungua Biashara ya vinywaji baridi Kwa bei ya Jumla Kwa maeneo ya Tanga.

Nilikua naomba kujua je mtaji wa kiasi gani naweza kuanza nao? (Kima cha chini)

Na Je iliuanze biashara ya Jumla unahitaji kununua kuanzia katoni ngapi Kweny Deposit?

Pia Kwa anayeyajua machimbo au Deposit ambapo unaweza kwenda kuchukua mzigo naomba anielekeze

Naomba kuwasilisha .
MREJESHO...

#YNWA
 
Back
Top Bottom