Yes Mkuu mrejesho ni muhimu, mpaka sasa biashara yangu ina miezi 6, na naweza kusema inafanya vizur, kwa maana inakuwa,MREJESHO...
#YNWA
Alimaanisha vinywaji visivyo na kileviUna maanisha uuuze Soda,chupa n take away na vinywaji vingine vyote vikiwa vya baridi au sijaelewa?
Maana ya kusema uuze vinywaji baridi hapo ulimaanisha nini boss?
Amen Mungu awe nasi wauza vinywaji woteee....!!!Yes Mkuu mrejesho ni muhimu, mpaka sasa biashara yangu ina miezi 6, na naweza kusema inafanya vizur, kwa maana inakuwa,
Lakini nilifanya modification kidogo nanunua vinjwaji kwa bei ya jumla, ila nauza kwa reja reja, (hii ni nzuri kwa maana bei zangu kwa reja reja ni nzuri pia) ila Mwakani Nina mpango wa kuuza kwa jumla pia,
Kikukubwa ni turnover, lakini pia nimeweka machine za ice-cream pia, za popcorn na vitu vya watoto hii ilikuwa idea ya wife nikaona sio mbaya!
2024, naamini utakuwa wa viwango vingine.
Kaka, unaweza ukanipa mwanga kidogo kuhusu upatikanaji wa mashine za ice cream, Bei, kampuni nzuri, na Abc kidogo kuhusu biashara hii kama hutokajal bro! Natanguliza shukuranYes Mkuu mrejesho ni muhimu, mpaka sasa biashara yangu ina miezi 6, na naweza kusema inafanya vizur, kwa maana inakuwa,
Lakini nilifanya modification kidogo nanunua vinjwaji kwa bei ya jumla, ila nauza kwa reja reja, (hii ni nzuri kwa maana bei zangu kwa reja reja ni nzuri pia) ila Mwakani Nina mpango wa kuuza kwa jumla pia,
Kikukubwa ni turnover, lakini pia nimeweka machine za ice-cream pia, za popcorn na vitu vya watoto hii ilikuwa idea ya wife nikaona sio mbaya!
2024, naamini utakuwa wa viwango vingine.
Hongera kiongoziYes Mkuu mrejesho ni muhimu, mpaka sasa biashara yangu ina miezi 6, na naweza kusema inafanya vizur, kwa maana inakuwa,
Lakini nilifanya modification kidogo nanunua vinjwaji kwa bei ya jumla, ila nauza kwa reja reja, (hii ni nzuri kwa maana bei zangu kwa reja reja ni nzuri pia) ila Mwakani Nina mpango wa kuuza kwa jumla pia,
Kikukubwa ni turnover, lakini pia nimeweka machine za ice-cream pia, za popcorn na vitu vya watoto hii ilikuwa idea ya wife nikaona sio mbaya!
2024, naamini utakuwa wa viwango vingine.
mkuu vip maendeleoYes Mkuu mrejesho ni muhimu, mpaka sasa biashara yangu ina miezi 6, na naweza kusema inafanya vizur, kwa maana inakuwa,
Lakini nilifanya modification kidogo nanunua vinjwaji kwa bei ya jumla, ila nauza kwa reja reja, (hii ni nzuri kwa maana bei zangu kwa reja reja ni nzuri pia) ila Mwakani Nina mpango wa kuuza kwa jumla pia,
Kikukubwa ni turnover, lakini pia nimeweka machine za ice-cream pia, za popcorn na vitu vya watoto hii ilikuwa idea ya wife nikaona sio mbaya!
2024, naamini utakuwa wa viwango vingine.
Akili za CCM,ajiuze auMtaji wa kwanza siyo pesa kiasi gani, mtaji wa kwanza ni wewe mwenyewe, anza na mtaji wowote ulionao, Itawezekana.
Asante Mkuu kwa elimu ya kinaCha kwanza kabisa ni kuchagua eneo /location ambao Kuna maduka madogo madogo , maeneo yenye gorossary nyingi, Kiujumla eneo liwe limechangamka, Faida kwenye vinywaji ni ndogo sana , kunahitajika update mzunguko mkubwa.
Bidhaa za kuwwka:-
Azam - Azam energy, Ember juice, apple punch, malt , coffee malt, ukwajuu, Swiss, fursana, cola, tangawazi. Maji ya Uhai size zote.
MOE- Moe Xtra, Maji yake, juice ndogo aina Pride , malt ya nanasi
Sayona:- Soda za tangawazi , sayona soda na Maji
Oilcom (watercom) ; Maji afya, energy zake na soda za afya
Pepsi Cola; soda zao zenye soko sana ni Pepsi hizi nyingine chukuwa kidogo na Sasa Wana Pepsi max inakimbiza sokoni.
Coca cola; soda zao zote karibu zinatoka sana
Coca cala nunuwa sana hizo ndogo za take away maana mtaji wake ni manunuzi hakuna creti Wala chupa, piya weka take away. Kubwa.
NB:- Tengeneza mikokoteni mitatu ya tairi za baiskeli ya kusambazia bidhaa Kwa wateja.
Hakikisha Cha kwanza Kila siku nikupigie simu wateja nakuwaulizia uwapelekie bidhaa sio ukae dukani usubiri wteja. Hakikisha unakwenda kutafuta wateja huko makwao. Sio unaka tu.
ANGALIZIO Faida Kwa soda ndogo na Maji madogo. Isizidi 200/250/= per cartoon. Soda kubwa take away na creti. Iwe 500/= mchawi wako nikuongeza maudho.
Nenda depot yoyote hizo company au piga simu toa order watakuletea mzigo Hadi ofsini kwako.
Mwanzoni chukuwa mzigo kidogo kidogo kujuwa eneo husika wanapenda product Gani? Ila kuna zile common kukimbiza ni kawaida mfano Azam energy, Moe Xtra inauza, na nyingine. Piya sio vibaya ukapita maduka yaliyojirana na eneo unalotaka kufungua ofisi Uwezi kuona bidhaa Gani wanaxzo Kwa wingi? Bei zao? Huduma zao zipojee? Eli wewe uanzie hapo.
Acha siasaMtaji wa kwanza siyo pesa kiasi gani, mtaji wa kwanza ni wewe mwenyewe, anza na mtaji wowote ulionao, Itawezekana.
HahahaAcha siasa