Biashara ya Vinywaji vikali

Biashara ya Vinywaji vikali

BankxRobert

New Member
Joined
Feb 22, 2014
Posts
2
Reaction score
3
Habarini ndugu,

Nilikuwa naomba usharudi wa utaratibu unaohitajika kufungua duka na kuuza pombe kali Dodoma mjini. Ningependa niwe nauza jumla na rejareja. Natakiwa nianze wapi kama eneo tayari ninalo(urban area) ambapo kuna mzunguko wa watu na pub.

Nina mtaji wa 20m
 
Habarini ndugu,

Nilikuwa naomba usharudi wa utaratibu unaohitajika kufungua duka na kuuza pombe kali Dodoma mjini. Ningependa niwe nauza jumla na rejareja. Natakiwa nianze wapi kama eneo tayari ninalo(urban area) ambapo kuna mzunguko wa watu na pub.

Nina mtaji wa 20m
  • Tin number
  • Leseni ya vileo
  • Leseni ya biashara
  • Efd Mashine
Muhimu ndo hizo hutasumbuliwa, Location umepata maneo yapi lakin Mkuu. Mbabe kwa hapa Dom yupo Mr Chonjo, ana liquor store kama 6 hivi
 
Changamoto inakuja kwenye bei huwez uza sawa na huyo mjuba chonjo hilo weka kichwan kwanza kabisa. Utaenda nunua kwake uuze kwako the same price?? Apo sugua kwanza akili upate chimbo la maana
 
Habarini ndugu,

Nilikuwa naomba usharudi wa utaratibu unaohitajika kufungua duka na kuuza pombe kali Dodoma mjini. Ningependa niwe nauza jumla na rejareja. Natakiwa nianze wapi kama eneo tayari ninalo(urban area) ambapo kuna mzunguko wa watu na pub.

Nina mtaji wa 20m
Mrejesho...

#YNWA
 
Back
Top Bottom