Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanda ya ziwa ni kubwa.Wadau tusaidiane, Mimi Nina 5m nataka kuanzisha biashara ya kuuza vitenge vya jumla na rejareja. Je, ni wapi point ya kuzichukulia.
NB: Niko Kanda ya ziwa.
Mim nachojua ni hicho.Hii ninayosikia katoro kutokea Uganda?
vitenge vinatoka China to kkoo hamna anaefuata vitenge congo, vitenge vya Congo atamuuzia nani?bei kubwa sana na wakati cha China bei ya wastanKanda ya ziwa ni kubwa.
Vitenge wanafuata Congo na Congo wanatoa Nigeria.
ingawa unaweza kuanza mdogo mdogo kwa hiyo hela ila kwenye vitenge kwa jumla bado mzigo utaona mdogo vitenge vinataka mtaji mkubwa maana sasa hivi bei yake ni kubwa kidogo sio kama miaka 10 iliyopitaWadau tusaidiane, Mimi Nina 5m nataka kuanzisha biashara ya kuuza vitenge vya jumla na rejareja. Je, ni wapi point ya kuzichukulia.
NB: Niko Kanda ya ziwa.
Vitenge vinatoka Congo ni vzuri na ni mali safi bei ndio ni kubwa lkn ubora ni muhimu zaid.vitenge vinatoka China to kkoo hamna anaefuata vitenge congo, vitenge vya Congo atamuuzia nani?bei kubwa sana na wakati cha China bei ya wastan
bei nani wakununua kilenga cha laki 1 hadi 2 nawakati kuna vya China elf 25 cotton jumla 23 kkoo ambavyo vizuri na havichuji ingawa sio material quality kama cha congoVitenge vinatoka Congo ni vzuri na ni mali safi bei ndio ni kubwa lkn ubora ni muhimu zaid.