Kama ni vitenge vya kawaida chukua vitenge vya morogoro (ndo jina lake) hata bei yake si kubwa kimoja kwa bei ya jumla ni 5700-5800 kwa kariakoo, kwa minadani utauza sababu vinafahamika kwa wengi na vilijitengenezea jina kwa ubora wake...ila nakushauri ungechanganya na khanga ka wafanya biashara ya kuviuza mnadani.