Biashara ya vitenge ina changamoto zipi?

MamaMtoi

Member
Joined
May 26, 2015
Posts
25
Reaction score
7
Wapendwa naombeni kujuzwa nahitaji kufanya biashara ya vitenge wp nitapata vitenge kwajumla bila kuchakachuliwa nina mtaji wa mil 1 nataka niwe naviuza kwenye minada, naomba kujua changamoto zaizi biashara.

Msaada plz
 
MamaMtoi biashara ya vitenge vipi?

Kuna aina tofauti tofauti
 
Last edited by a moderator:
Vitenge vya kawaida tu sio wax Hornet
 
Last edited by a moderator:
Vitenge vya kawaida tu sio wax Hornet

Vile vipo Kariakoo wanauza kwa Jumla. Changamoto kubwa ni kwenye uuzaji watu wanapokopa kurudisha inakua vigumu hivyo biashara inasuasua. Ila kama ni kwenye minada nadhani siyo ngumu sana kikubwa uwezo wa kupata MZIGO kwa muda muafaka na kuzunguka minadani.
 
Last edited by a moderator:
Kama ni vitenge vya kawaida chukua vitenge vya morogoro (ndo jina lake) hata bei yake si kubwa kimoja kwa bei ya jumla ni 5700-5800 kwa kariakoo, kwa minadani utauza sababu vinafahamika kwa wengi na vilijitengenezea jina kwa ubora wake...ila nakushauri ungechanganya na khanga ka wafanya biashara ya kuviuza mnadani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…