Kuna hamira , vifungashio vya keki n.k
Kama una mtu mikoani mpe hiyo assignment akuangalizie soko kabla ya kufungua.
Nina mtu anafanya hiyo shughuli kila wiki lazima aagize mizigo.
Kuna kipindi baadhi ya vifaa vya keki katika Hilo eneo alipo huwa vinaisha kabisa Hadi Watu wanaenda mkoa ulio jirani nao kununua. Ambapo wakienda kwenye huo mkoa kununua gharama ni kubwa zaidi ya wewe ukiwaagizia. Au wakinunua kwako.
Pia nenda kariakoo kwenye maduka ya vifaa vya keki ukafanye uchunguzi wako zaidi na Zaid.
Assnte.