Wadau mimi ni rai wa tanzania. Naishi ktk mkoa mmoja miongoni mwa mikoa ya tanzania
Lengo la kuja katika jukwa hili nikutaka kuomba ushauri maana naamini humu kuna wadau wengi wenye dondo ktk maswala ya biashara.
Nina miliki usafiri aina tajwa hapo juu lkn naona km mambo hayaendi kivile nilitaka kuuza hii gari ili niweze kuanzisha biashara ya vyakula vya mifugo mahali nilipo kidogo mzunguko ni mzuri sio haba
Kwahiyo nilitaka kujua km humu kuna mtu mwenye uzoefu wa biashara hii japo nilitaka kuanza na store ya pumba na mashudu
Pumba za mahindi tani 50 na mashudu tani 50.
Maswali yangu
1. Je wazo la kuuza gari ni sahihi
2. Je biashara hii ni nzuri??
3. Zipi changamoto ya biashara hii kwa ambaye anafanya au Alisha wahi kufanya
4. Wapi naweza pata pumba za mahindi, soya na mashudu kwa urahisi na kwabei ndogo ili nipate faida.
Nauomba kuwasilisha
Lengo la kuja katika jukwa hili nikutaka kuomba ushauri maana naamini humu kuna wadau wengi wenye dondo ktk maswala ya biashara.
Nina miliki usafiri aina tajwa hapo juu lkn naona km mambo hayaendi kivile nilitaka kuuza hii gari ili niweze kuanzisha biashara ya vyakula vya mifugo mahali nilipo kidogo mzunguko ni mzuri sio haba
Kwahiyo nilitaka kujua km humu kuna mtu mwenye uzoefu wa biashara hii japo nilitaka kuanza na store ya pumba na mashudu
Pumba za mahindi tani 50 na mashudu tani 50.
Maswali yangu
1. Je wazo la kuuza gari ni sahihi
2. Je biashara hii ni nzuri??
3. Zipi changamoto ya biashara hii kwa ambaye anafanya au Alisha wahi kufanya
4. Wapi naweza pata pumba za mahindi, soya na mashudu kwa urahisi na kwabei ndogo ili nipate faida.
Nauomba kuwasilisha