Biashara ya vyuma chakavu

Biashara ya vyuma chakavu

Prostar

Senior Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
126
Reaction score
72
Ningependa kujua biashara ya vyuma chakavu imekaaje,.. Kuanzia mtaji wa kuanza biashara hii, changamoto zake, namna ya kuRUN and everything guys,... Nasubiria comments zenu.
 
Ni biashara nzuri yenye faida kubwa..
Kupata vibali vyote kwa maramoja ni ishu inayohitaji pesa ndefu.. Hivyo unaweza kuanza na leseni ya biashara kwanza na mtaji wa milion kumi kwa mchanganuo wa
Eneo/godown (Kodi)
Mizani kubwa na ndogo (optional)
Vitendea Kazi (kama panga, spana mitarimbo,gloves, gumboots, overroll nk)
Wafanyakazi (kwa kuanzia wawili)

Vitu vya ku deal navyo
Chuma cchakavu
Chuma dongo
Battery mbovu/cchakavu
Mabaki ya Aluminium nk

Changamoto kubwa
Mizigo ya wizi
Mizigo ya kuchomekewa
Kutapeliwa pesa nk

Bei za sokoni
Chuma chakavu tani Inaenda mpaka 1.1M
Aluminium waste tani moja 5.5M
Maswali zaidi niulize
 
Ni biashara nzuri yenye faida kubwa..
Kupata vibali vyote kwa maramoja ni ishu inayohitaji pesa ndefu.. Hivyo unaweza kuanza na leseni ya biashara kwanza na mtaji wa milion kumi kwa mchanganuo wa
Eneo/godown (Kodi)
Mizani kubwa na ndogo (optional)
Vitendea Kazi (kama panga, spana mitarimbo,gloves, gumboots, overroll nk)
Wafanyakazi (kwa kuanzia wawili)

Vitu vya ku deal navyo
Chuma cchakavu
Chuma dongo
Battery mbovu/cchakavu
Mabaki ya Aluminium nk

Changamoto kubwa
Mizigo ya wizi
Mizigo ya kuchomekewa
Kutapeliwa pesa nk

Bei za sokoni
Chuma chakavu tani Inaenda mpaka 1.1M
Aluminium waste tani moja 5.5M
Maswali zaidi niulize
Noma sana nilikuwa naizarau hii kuna mjomba angu anafanya afu anahela kinoma huwa ananiambia sina biashra nyingine zaid hiii nakuaga simuamini ila mchanganuo huu ntaanza kumwamini anasomesha watoto wake nje wapo wawili kwa mwaka ana anawalipia milion 165 aisee
 
Noma sana nilikuwa naizarau hii kuna mjomba angu anafanya afu anahela kinoma huwa ananiambia sina biashra nyingine zaid hiii nakuaga simuamini ila mchanganuo huu ntaanza kumwamini anasomesha watoto wake nje wapo wawili kwa mwaka ana anawalipia milion 165 aisee
ni biashara nzuri kwani wewe kazi yako ni kupokea mzigo kukagua na kulangua
 
Mshana kaelezea vzuri sana biashhara ya chuma inabid uwe na mpunga mrefu sana pia mizigo ya wizi ya kuchomekewa wazee wa papatu papatu waje kukutikisa. All in all ni bizness nzuri sana.
 
Ni biashara nzuri yenye faida kubwa..
Kupata vibali vyote kwa maramoja ni ishu inayohitaji pesa ndefu.. Hivyo unaweza kuanza na leseni ya biashara kwanza na mtaji wa milion kumi kwa mchanganuo wa
Eneo/godown (Kodi)
Mizani kubwa na ndogo (optional)
Vitendea Kazi (kama panga, spana mitarimbo,gloves, gumboots, overroll nk)
Wafanyakazi (kwa kuanzia wawili)

Vitu vya ku deal navyo
Chuma cchakavu
Chuma dongo
Battery mbovu/cchakavu
Mabaki ya Aluminium nk

Changamoto kubwa
Mizigo ya wizi
Mizigo ya kuchomekewa
Kutapeliwa pesa nk

Bei za sokoni
Chuma chakavu tani Inaenda mpaka 1.1M
Aluminium waste tani moja 5.5M
Maswali zaidi niulize
inakugharimu sh ngapi, kukusanya tani moja ya chuma chakavu au tani moja ya alluminium?
 
Back
Top Bottom