Ba Martha
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 349
- 107
Ndugu wanaforum!
Salam,
Ninaishi Arusha...Nimepata mtaji ( 5 m).. katika kuwaza biashara ya kufanya ili nami nitoke kimaisha nimeona nijaribu hii ya kuchukua zabibu kutoka Dodoma na kuziuza Nairobi..ingawa ni ya msimu lakini naamini ni good start..Ningependa kujua a,b,c ya hii biashara kwa wale ambao mko familiar nayo hasa katika nyanja za masoko, usafiri, usumbufu wa boda, kodi n.k ..Naamini ntapata ushauri wa kutosha kutoka kwenu.
Mungu awabariki.
Salam,
Ninaishi Arusha...Nimepata mtaji ( 5 m).. katika kuwaza biashara ya kufanya ili nami nitoke kimaisha nimeona nijaribu hii ya kuchukua zabibu kutoka Dodoma na kuziuza Nairobi..ingawa ni ya msimu lakini naamini ni good start..Ningependa kujua a,b,c ya hii biashara kwa wale ambao mko familiar nayo hasa katika nyanja za masoko, usafiri, usumbufu wa boda, kodi n.k ..Naamini ntapata ushauri wa kutosha kutoka kwenu.
Mungu awabariki.