Biashara yenye mahitaji lakini ngumu kufanyiwa marketing

Biashara yenye mahitaji lakini ngumu kufanyiwa marketing

Idd Ninga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
5,497
Reaction score
4,775
Hebu fikiria umeanzisha biashara ya kusafirisha maiti,mochwari binafsi,kuuza sanda na majeneza.
je ukienda katika maofisi na makampuni kwa ajili ya kufanya marketing utaanzaje ?
utawaambia ofa ulizo nazo ?
kwa mfano,duka la nguo,ukinunua mashati mawili unapewa kofia ya nyongeza na kuambiwa KARIBU TENA
Sa hapo kwenye biashara yako utawaambiaje wateja ?
dah aise
 
Kwani nn cha ajabu?!unawapa package za huduma zako zilivyo kifo ni biashara kama biashara nyingine
 
Back
Top Bottom