Biashara za familia au za kudumu..

MENISON

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
726
Reaction score
621
Habari wadau?
Hivi ni biashara au huduma gani naweza kuianzisha mwaka 2019 na baada ya miaka 5 ikakua na ikafaa na kizazi changu kijacho. Mtaji wangu mpaka June mwakani naweza kuwa na cash 20M , ila kila nikifikiria biashara za maduka naona kama sio endelevu, msaada kwa wazoefu wa huduma au biashara katika sekta yoyote ile . In short nahitaji kuanzisha biashara ambayo sio rahisi kufaa hata kama faida ni ndogo. Asanteni
 
Fungua kampuni au kiwanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…