technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Ndo kitu gani fafanuaMbese
Biashara nyingine zinaendeleaKinondoni studio na sinza fremu ya chini ni million 1
Lakini unakuta duka Lina nguo 10 na ukiingia ndani full kiyoyozi na nje mwenye duka kapaki ndinga ya maana
Mimi uwa najiuliza Hawa uwa wanafanya biashara gani pale na wanawezaje kulipa Kodi!!?
Una 100B unatafuta namna ya kuziingiza kwenye mfumo mdogo mdogooo
Tanzania kuna magendo mengi sana.Kinondoni studio na sinza fremu ya chini ni million 1
Lakini unakuta duka Lina nguo 10 na ukiingia ndani full kiyoyozi na nje mwenye duka kapaki ndinga ya maana
Mimi uwa najiuliza Hawa uwa wanafanya biashara gani pale na wanawezaje kulipa Kodi!!?
Uwiiiivuu....! Uwiiivuu...!Kinondoni studio na sinza fremu ya chini ni million 1
Lakini unakuta duka Lina nguo 10 na ukiingia ndani full kiyoyozi na nje mwenye duka kapaki ndinga ya maana
Mimi uwa najiuliza Hawa uwa wanafanya biashara gani pale na wanawezaje kulipa Kodi!!?
Kaitoa Twitter au X ndo Origin yake hiyo post. Watu wa FB wamecopy tu.Hahahaha hii umeitoa facebook ukibisha sawa?ila nzuri ya kujadili but nishaiona ni copy and paste
Na huko X/Twitter siyo original wameitoa badoo na tinderKaitoa Twitter au X ndo Origin yake hiyo post. Watu wa FB wamecopy tu.
Nonga...Ndo kitu gani body fafanua