toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,721
Katika mambo ya kushangaza ni kuwa kuuza biashara kupitia mitandaoni kama facebook,insta,jf Na kupatana nimenote kuwa Watanzania wengi hawajui kufanya biashara.
Jee ni kivipi hawajui?
Unakuta bidhaa ya 5000 dukani yeye atauza 20000 sasa hapo utapata wateja kweli???
Mboga za majani za 500 yeye atauza 3000
Nazi ya 500 yeye atauza 1200
Sasa hapo unaona ni bora ununuwe dukani tu
Mchele kilo wa 2000 yeye atauza 4000 hapo hujaweka delivery
Tujifunze kwa wenzetu ambao huuza bei sawa na madukani au bei iliyopo hii inawafanya hata watu washawishike kununua bidhaa zako mtandaoni...kuliko kuuza ghali bidhaa zikudodee
Jee ni kivipi hawajui?
Unakuta bidhaa ya 5000 dukani yeye atauza 20000 sasa hapo utapata wateja kweli???
Mboga za majani za 500 yeye atauza 3000
Nazi ya 500 yeye atauza 1200
Sasa hapo unaona ni bora ununuwe dukani tu
Mchele kilo wa 2000 yeye atauza 4000 hapo hujaweka delivery
Tujifunze kwa wenzetu ambao huuza bei sawa na madukani au bei iliyopo hii inawafanya hata watu washawishike kununua bidhaa zako mtandaoni...kuliko kuuza ghali bidhaa zikudodee