Kama upiBado kuna utapeli mkubwa!
Umesema sawa.Ndo maana wenzetu wanaendelea kama Alibaba.Katika mambo ya kushangaza ni kuwa kuuza biashara kupitia mitandaoni kama facebook,insta,jf Na kupatana nimenote kuwa Watanzania wengi hawajui kufanya biashara.
Jee ni kivipi hawajui?
Unakuta bidhaa ya 5000 dukani yeye atauza 20000 sasa hapo utapata wateja kweli???
Mboga za majani za 500 yeye atauza 3000
Nazi ya 500 yeye atauza 1200
Sasa hapo unaona ni bora ununuwe dukani tu
Mchele kilo wa 2000 yeye atauza 4000 hapo hujaweka delivery
Tujifunze kwa wenzetu ambao huuza bei sawa na madukani au bei iliyopo hii inawafanya hata watu washawishike kununua bidhaa zako mtandaoni...kuliko kuuza ghali bidhaa zikudodee
Cha ajabu wanaofanya huo mchezo wanawafanyia watu ambao wako Dar pia. Kwa nauli isiozidi 2000 utafika kariakoo na kurudi kwako ukiwa na bidhaa ile ile kwa bei ya chini kuliko bei ya kwenye kurasa ya instagram.Tatizo wanauza mitandaoni sasa wengi ni madalali kuliko wenye maduka au bidhaa bei wanayoiongeza ni mara mbili ya bei dukani.
Huu mtindo upo jumia sana baada ya kuruhusu watu waanze kuuza bidhaa.
Unaofanywa na ma winga! Kitu cha elfu 50,000 wao watakuandikia 70,000! Cha 60,000 unaandikiwa 85,000! Ukienda kariakoo ukavikuta na bei zake halisi utacheka.Kama upi
Uchawi upo, tumeamua 'kujiajiri' kama mlivyotushauri..... bado mnataka tufanyeje sasa..?Unaofanywa na ma winga! Kitu cha elfu 50,000 wao watakuandikia 70,000! Cha 60,000 unaandikiwa 85,000! Ukienda kariakoo ukavikuta na bei zake halisi utacheka.
Increment ni 15-20k toka kwenye bei halisi.
Uzuri mdomo haulipiwi kodi, kama ingeanzishwa kodi ya mdomo nadhani bongo tungeongoza kulipa kodi mkuu. Tuvumilieni tuUchawi upo, tumeamua 'kujiajiri' kama mlivyotushauri..... bado mnataka tufanyeje sasa..?
hahaha afu na uaminifu sifuri kabsaViatu vyote insta vinauzwa 150k sijui wameambiana bei..wakati ukienda kariakoo unapata kwa 80k
Shati 25,000 wakati kariakoo 15000,bado umpe na gharama za kuleta mzigo,unakuta ni gharama tupu bora ukazunguke tu mwenyeweViatu vyote insta vinauzwa 150k sijui wameambiana bei..wakati ukienda kariakoo unapata kwa 80k
Umesema sawa.Ndo maana wenzetu wanaendelea kama Alibaba.
Hao sio Alibaba bali ni Ma-alibaba yaani watu feki wanaojifanya Alibaba.Ndio maana ukiona akaunti ya kampuni inayofanya vizuri sokoni kuna watu wengine wengi hufungua kama hiyo au inayofanana na hiyo ili wawapige watu hela.Ila mbona nasikia alibaba nao kuna utapeli kuna ukweli hapo?
Hatari sanaMimi nilikuta tangazo instagram la Printa inauzwa kwa 360,000/=,
Nilipofika Kariakoo karibu na dukani kwao nikawapigia simu wakaniambia ni 435,000/= imejumuishwa na gharama ya VAT.
Nikageuka zangu,
Nikaenda kununua maduka ya Wasomali,
Nikasepa.