Biashara za mitaji ya EPA!!!

Watu

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2008
Posts
3,231
Reaction score
1,471
kuna tetesi kuwa badhi ya biashara zilizokuwa zinaendeshwa kwa mitaji ya EPA zimeanza kufunguwa

Hebu tuziangalie biashara za EPA ni zipi na je zitaendelea kuwepo?

Kituo cha BP Jamhuri Street kimetiwa kamba na kuna tetesi Morogoro stores nayo imetiwa kamba kuna ukweli wowote? wamiliki wa biashara zote hizi mbili wako mahakamani kwa EPA.
 

hao wamiliki ni kina nani kati ya ishirini waliofikishwa kizimbani?
 
yule aliyekuwa anaendesha tenda ya kupaki gari airport nae yuko kitimoto anatembea na daladala siku hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…