Mshiiri
JF-Expert Member
- Jun 16, 2008
- 2,012
- 512
Kwanza mimi mwenyewe nimezaliwa Tanzania na kukulia katika jamii ya uwezo wa kati kiuchumi.
Kwa leo kuna jambo moja ningependa sote kwa pamoja tuangalie kwa makini hili suala la Watanzania wenye asili ya KIHINDI. Kamwe si jambo la ubaguzi kwao ila ni kufikiri ubaguzi wanaoufanya kwa ardhi, mali na watu wazalendo wa Taifa hili.
Kwanza tuangalie biashara zao na uchangiaji wa maendeleo ya jamii inayowazunguka na uchumi wa Taifa kwa ujumla.
Kwa miaka mingi sasa wahindi walio wengi wameonekana wakifanya biashara Tanzania lakini hamna lolote linaloonekana kimaendeleo katika jamii inayowazunguka au wanayoizunguka. Wanaishi kwenye nyumba za NHC na hawataki kabisa kujenga makzi ya kudumu. Hapa ni kwa nini? Je serikali ina miongozo gani katika investment? Fedha zao na mapato yao wanapeleka wapi? Je kuna faida wao kufanya biashara?
Tena ndio mafisadi namba moja wa nchi kwa kuwa huchuma fedha na kupeleka nchi za nje mathalan CANADA, UINGEREZA, na kwingineko na hivyo kuchangia sana kuyumba kwa uchumi nchini. Hawakui kibiashara kwa mionekano ya kuchangia maendeleo bali ni kuonekana vile vile tangu miaka yote ingawa wanapata fedha nyingi sana na hata kodi wanakwepa. Kunako miaka ya themanini mwishoni na tisini mwanzoni hivi nilienda dukani kwa HINDI moja pale mitaa ya UHURU na kununua TV HITACHI, na gharama yake ilikuwa 155k na hili HINDI likadai sasa nikitaka risiti itakuwa 160k nikitaka bila risiti itakuwa 155k.
Nikakataa kabisa kwa kuwa ni fedha yangu ile ile anaiba. Nikamweleza kuwa haiwezekani patachimbika hapa! Akaniulizia 155k na risiti na nikamwambia nitamripoti. N anilifanya hivyo hawa jamaa wa MAKODI wakasema watamfuatilia na sijui ilkoishia najua ilikuwa loop ya kupata kitu kidogo na hamna lililofanyika.
Tizama pia list ya mafisadi na wahujumu uchumi tangu enzi wote ni WAHINDI. Ni nini jamani TANZANIA?
Watanzania walioanzisha biashara miaka mitatu tu utakuta wameanzisha ama hotel, ama hospitali ama shule na kutoa nafasi za kazi na kuchangia maendeleo ya nchi. Hawa wahindi je?
Hawana mapenzi na Tanzania kwa kuwa hata katika kada tofauti na biashara wahindi hamna au ni mmoja akizidi. Mfano hatuna MHINDI polisi, mwalimu shule ya msingi. Hupenda sana white collar na ufisadi. Serikali na usalama wa taifa, msilinde tu usalama wa viongozi na misafara. Chunguzeni jamii fulani inafanya nini, kwa sababu gani, kwa njia zipi na tija kwa taifa ni nini? Acheni ubinafsi, MASLAHI YA TAIFA yawe mbele kama nyuso zetu.
Hizi ni fikra zangu za UTAIFA.
Kwa leo kuna jambo moja ningependa sote kwa pamoja tuangalie kwa makini hili suala la Watanzania wenye asili ya KIHINDI. Kamwe si jambo la ubaguzi kwao ila ni kufikiri ubaguzi wanaoufanya kwa ardhi, mali na watu wazalendo wa Taifa hili.
Kwanza tuangalie biashara zao na uchangiaji wa maendeleo ya jamii inayowazunguka na uchumi wa Taifa kwa ujumla.
Kwa miaka mingi sasa wahindi walio wengi wameonekana wakifanya biashara Tanzania lakini hamna lolote linaloonekana kimaendeleo katika jamii inayowazunguka au wanayoizunguka. Wanaishi kwenye nyumba za NHC na hawataki kabisa kujenga makzi ya kudumu. Hapa ni kwa nini? Je serikali ina miongozo gani katika investment? Fedha zao na mapato yao wanapeleka wapi? Je kuna faida wao kufanya biashara?
Tena ndio mafisadi namba moja wa nchi kwa kuwa huchuma fedha na kupeleka nchi za nje mathalan CANADA, UINGEREZA, na kwingineko na hivyo kuchangia sana kuyumba kwa uchumi nchini. Hawakui kibiashara kwa mionekano ya kuchangia maendeleo bali ni kuonekana vile vile tangu miaka yote ingawa wanapata fedha nyingi sana na hata kodi wanakwepa. Kunako miaka ya themanini mwishoni na tisini mwanzoni hivi nilienda dukani kwa HINDI moja pale mitaa ya UHURU na kununua TV HITACHI, na gharama yake ilikuwa 155k na hili HINDI likadai sasa nikitaka risiti itakuwa 160k nikitaka bila risiti itakuwa 155k.
Nikakataa kabisa kwa kuwa ni fedha yangu ile ile anaiba. Nikamweleza kuwa haiwezekani patachimbika hapa! Akaniulizia 155k na risiti na nikamwambia nitamripoti. N anilifanya hivyo hawa jamaa wa MAKODI wakasema watamfuatilia na sijui ilkoishia najua ilikuwa loop ya kupata kitu kidogo na hamna lililofanyika.
Tizama pia list ya mafisadi na wahujumu uchumi tangu enzi wote ni WAHINDI. Ni nini jamani TANZANIA?
Watanzania walioanzisha biashara miaka mitatu tu utakuta wameanzisha ama hotel, ama hospitali ama shule na kutoa nafasi za kazi na kuchangia maendeleo ya nchi. Hawa wahindi je?
Hawana mapenzi na Tanzania kwa kuwa hata katika kada tofauti na biashara wahindi hamna au ni mmoja akizidi. Mfano hatuna MHINDI polisi, mwalimu shule ya msingi. Hupenda sana white collar na ufisadi. Serikali na usalama wa taifa, msilinde tu usalama wa viongozi na misafara. Chunguzeni jamii fulani inafanya nini, kwa sababu gani, kwa njia zipi na tija kwa taifa ni nini? Acheni ubinafsi, MASLAHI YA TAIFA yawe mbele kama nyuso zetu.
Hizi ni fikra zangu za UTAIFA.