Biashara zangu za utotoni hadi uzeeni

Biashara zangu za utotoni hadi uzeeni

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,414
Reaction score
2,181
Kwa kuwa miaka 40 wanaanza kuhesabu ni mzee, umepevuka, nami nimefika hapa ni muda wa kuwatia moyo wengine kwamba chochote unachokifanya,kifanye kwa moyo na akili yako yote ili kikupeleke hatua ya mbele yenye mafanikio zaidi. Pia nimegundua ukianza biashara hasa za kusafiri nje ya nchi, kubali kutumia muda na pesa kujua connection (nani mwenyeji wako anayeujua mji husika na machimbo , kampuni zipi zitasafirisha mzigo wako kwa uhakika na gharama na nafuu.

Maana nimeshuhudia watu wakichoma mitaji kwa habari za mitandaoni kisha wakaenda moja kwa moja).

Hizi hapa;

1. Miaka 7(1991): Kuuza makopo ya soda kwa wanunua screpa,mtaa wa mawenzi -Morogoro

2. Miaka 8: Kuuza mihogo na visheti vya walimu shule ,Mafiga primary, Morogoro

3. Miaka 9: Kuuza maandazi ya mama, Mazimbu -Morogoro

4. Miaka 10: Kuuza vitabu vya dini , Mazimbu -Morogoro

5. Miaka 11: Kuuza genge la familia, Mazimbu -Morogoro

6. Miaka 14: Kuuza mifuko ya rambo Soko kuu Morogoro(la zamani kabla halijabomolewa na kujengwa ghorofa)

7. Miaka 17: Kuuza vipuri (spear) -Kufata Dar na kuuza Morogoro

8. Miaka 24; Biashara ya stationary chuoni (TIA-kurasini)

9. Miaka 25: Kufundisha computer mtu kwa mtu (Morogoro mjini)

10. Miaka 26: Kuuza pakiti za ice cream na maji (Turiani,Dumila na Kibaigwa)

11. Miaka 27: Kufundisha ufugaji kuku kienyeji kwa njia ya kisasa (Vyuo vikuu Morogoro)

12. Miaka 30: Kufuga kuku wa kienyeji (Kaloleni -Moshi)

13. Miaka 31:Kufundisha utengenezaji Sabuni za kipande bila mashine (Dar es salaam)

14. Miaka 31: Wakala kuuza computer za Apple (all in one) na laptop (Dar es salaam)

15.Miaka 33 Kuanzisha taasisi ya ushauri wa afya na ngozi (Natural Skin Solution) -Kibaha

16.Miaka 37 Kuwasaidia kuwatembeza watanzania maeneo ya kibiashara nje ya nchi hasa Dubai na China

Hii kazi na kazi na kazi namba 15 napanga nizifanya kwa muda mrefu kadiri niwezavyo kwani ndo maeneo nimeyajua nje-ndani.


 
Hongera kwa hatua hiyo. Kwenye maisha ili kupata mafanikio ya kudumu basi shortcut huwa haipo na msingi wa mafanikio ya kudumu ni kuipenda kazi yako na kuifanya kwa bidii zote.
 
Maisha ya biashara huwa tunaanza nayo utotoni nakumbuka nikiwa darasa la nne nilikuwa nimeshaanza kujitegemea baadhi ya mahitaji yangu muhimu kama kununua nguo,viatu na mabegi ya shule.
Mwaka namaliza form 4 nilikuwa Nina kila kitu chumbani kwangu ingawa bado nilikuwa home
 
Hongera umethibutu vitu vingi
Sasa chagua kazi Moja ukomae nayo hiyo
Usitangatange tena
 
Hongera umethibutu vitu vingi
Sasa chagua kazi Moja ukomae nayo hiyo
Usitangatange tena
nishachagua ,nimeandika:
''16.Miaka 37 Kuwasaidia kuwatembeza watanzania maeneo ya kibiashara nje ya nchi hasa Dubai na China

Hii kazi na kazi na kazi namba 15 napanga nizifanya kwa muda mrefu kadiri niwezavyo kwani ndo maeneo nimeyajua nje-ndani.''
 
Kwa kuwa miaka 40 wanaanza kuhesabu ni mzee, umepevuka, nami nimefika hapa ni muda wa kuwatia moyo wengine kwamba chochote unachokifanya,kifanye kwa moyo na akili yako yote ili kikupeleke hatua ya mbele yenye mafanikio zaidi. Pia nimegundua ukianza biashara hasa za kusafiri nje ya nchi, kubali kutumia muda na pesa kujua connection (nani mwenyeji wako anayeujua mji husika na machimbo , kampuni zipi zitasafirisha mzigo wako kwa uhakika na gharama na nafuu.

Maana nimeshuhudia watu wakichoma mitaji kwa habari za mitandaoni kisha wakaenda moja kwa moja).

Hizi hapa;

1. Miaka 7(1991): Kuuza makopo ya soda kwa wanunua screpa,mtaa wa mawenzi -Morogoro

2. Miaka 8: Kuuza mihogo na visheti vya walimu shule ,Mafiga primary, Morogoro

3. Miaka 9: Kuuza maandazi ya mama, Mazimbu -Morogoro

4. Miaka 10: Kuuza vitabu vya dini , Mazimbu -Morogoro

5. Miaka 11: Kuuza genge la familia, Mazimbu -Morogoro

6. Miaka 14: Kuuza mifuko ya rambo Soko kuu Morogoro(la zamani kabla halijabomolewa na kujengwa ghorofa)

7. Miaka 17: Kuuza vipuri (spear) -Kufata Dar na kuuza Morogoro

8. Miaka 24; Biashara ya stationary chuoni (TIA-kurasini)

9. Miaka 25: Kufundisha computer mtu kwa mtu (Morogoro mjini)

10. Miaka 26: Kuuza pakiti za ice cream na maji (Turiani,Dumila na Kibaigwa)

11. Miaka 27: Kufundisha ufugaji kuku kienyeji kwa njia ya kisasa (Vyuo vikuu Morogoro)

12. Miaka 30: Kufuga kuku wa kienyeji (Kaloleni -Moshi)

13. Miaka 31:Kufundisha utengenezaji Sabuni za kipande bila mashine (Dar es salaam)

14. Miaka 31: Wakala kuuza computer za Apple (all in one) na laptop (Dar es salaam)

15.Miaka 33 Kuanzisha taasisi ya ushauri wa afya na ngozi (Natural Skin Solution) -Kibaha

16.Miaka 37 Kuwasaidia kuwatembeza watanzania maeneo ya kibiashara nje ya nchi hasa Dubai na China

Hii kazi na kazi na kazi namba 15 napanga nizifanya kwa muda mrefu kadiri niwezavyo kwani ndo maeneo nimeyajua nje-ndani.

View attachment 3097222
View attachment 3097228
By prophesheno you are dermatologist of skin? Kwani Kuna dermatologist wa nini tena kingine bossssss?
 
Maisha ya biashara huwa tunaanza nayo utotoni nakumbuka nikiwa darasa la nne nilikuwa nimeshaanza kujitegemea baadhi ya mahitaji yangu muhimu kama kununua nguo,viatu na mabegi ya shule.
Mwaka namaliza form 4 nilikuwa Nina kila kitu chumbani kwangu ingawa bado nilikuwa home
Hatua kubwa mkuu
 
Hongera kwa hatua hiyo. Kwenye maisha ili kupata mafanikio ya kudumu basi shortcut huwa haipo na msingi wa mafanikio ya kudumu ni kuipenda kazi yako na kuifanya kwa bidii zote.
Uko sahihi kwa 100%,na hatua ukiipita,hakikisha hauirudii
 
Back
Top Bottom