Sasa hao dàgaa mchele kote dar na bongoland si wapo hii imekaajeDagaa mchele wananunulika sana..
Kutoka Zanzibar kuja DarNaskia kuna baadhi ya biashara ukitoa zanzibar kuleta bongoland..zinalipa saana...n pia kuna biashara ukitoa bongoland kupeleka zanzbr kuna faidaa...ninaomba kujuzwa juu ya hilii kwa yeyote anaefahamu...juu ya aina ya biashara.....mtaji wa kuanzia etc....nawasilisha asanteni.
Asante..nimeelewaKutoka Zanzibar kuja Dar
1. Used electronic e.g TV, Radio, Computer etc
2. Ubuyu. hii hasa kwa kina dada
3. Karafuu.
4. Kuna mavazi kama kanzu za oman
5. Magari ya mtumba kama una mtaji mkubwa.
Kutoka Dar kwenda Zanzibar
1. Bidhaa za mbao e.g madawati, mbao zenyewe n.k
2. Bidhaa za vyakula e.g nyanya , vitunguu n.k
3. Wanyama eg mbuzi, kondoo, kuku n.k
4. Mayai ya kuku wa kisasa
5. Maindi, mchele, maharage n.k
Nimeandika kwa kifupi. Ila kama una swali lingine uliza
Mfano hii biashara ya tv..radio..computer used mtaji kianzio kama sh ngapiKutoka Zanzibar kuja Dar
1. Used electronic e.g TV, Radio, Computer etc
2. Ubuyu. hii hasa kwa kina dada
3. Karafuu.
4. Kuna mavazi kama kanzu za oman
5. Magari ya mtumba kama una mtaji mkubwa.
Kutoka Dar kwenda Zanzibar
1. Bidhaa za mbao e.g madawati, mbao zenyewe n.k
2. Bidhaa za vyakula e.g nyanya , vitunguu n.k
3. Wanyama eg mbuzi, kondoo, kuku n.k
4. Mayai ya kuku wa kisasa
5. Maindi, mchele, maharage n.k
Nimeandika kwa kifupi. Ila kama una swali lingine uliza
Mtaji unategemea na soko lako na pia mzunguko wa biashara yako.Mfano hii biashara ya tv..radio..computer used mtaji kianzio kama sh ngapi