Biashara

Laki mbili ukiamua itazaa hela nyingi sana ila ilitakiwa ufafanue vizuri kuwa upo mkoa gani,jinsia yako ,umri na elimu yako na shughuli iliyokufanya upate hio laki 2 ili watu wakusaidie michango
 
Nina miaka 19,npo DSM.hii fedha ni mtaji nimekopa
Laki mbili ukiamua itazaa hela nyingi sana ila ilitakiwa ufafanue vizuri kuwa upo mkoa gani,jinsia yako ,umri na elimu yako na shughuli iliyokufanya upate hio laki 2 ili watu wakusaidie michango
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…