Q Quan_remmy New Member Joined Apr 30, 2019 Posts 1 Reaction score 0 May 5, 2019 #1 Nina mtaji wa laki tatu na ninahitaji kujishughulisha katika biashara. Naomben ushaur ni biashara gan nzur na yenye faida kubwa nfanye jamn
Nina mtaji wa laki tatu na ninahitaji kujishughulisha katika biashara. Naomben ushaur ni biashara gan nzur na yenye faida kubwa nfanye jamn
October man JF-Expert Member Joined Nov 23, 2017 Posts 3,635 Reaction score 5,012 May 5, 2019 #2 Forex.
milionea wa kesho JF-Expert Member Joined Dec 28, 2015 Posts 328 Reaction score 631 May 5, 2019 #3 upo wap
Vhagar JF-Expert Member Joined Jun 8, 2015 Posts 20,550 Reaction score 39,949 May 5, 2019 #4 Quan_remmy said: Nina mtaji wa laki tatu na ninahitaji kujishughulisha katika biashara. Naomben ushaur ni biashara gan nzur na yenye faida kubwa nfanye jamn Click to expand... Uko mkoa gani? Jinsia yako? Halafu siku nyingine salimia kwanza.
Quan_remmy said: Nina mtaji wa laki tatu na ninahitaji kujishughulisha katika biashara. Naomben ushaur ni biashara gan nzur na yenye faida kubwa nfanye jamn Click to expand... Uko mkoa gani? Jinsia yako? Halafu siku nyingine salimia kwanza.