josephmazuri
Member
- Mar 24, 2024
- 27
- 34
DuuiuuhUza Condom na vilainishi, utastaajabu jinsi gani hivyo vitu vitagomabiniwa hasa Ijumaa kuamkia Jumamosi.
Hello ladies and gentlemen
I guess all you are fine
Dear m niko na kitu nauliza iv n biashara gani unaweza kuifanya kwenye Makambi ya wasabato ??
Thanks na karibuni kwenye Makambi
[emoji1][emoji1][emoji1]Mikate kama ya Yesu we ipike vyovyote tu eli mradi iwe inalika
Asante sana mkuuVibanio vya nywele na chanuo.
Mashati meupe na suruali/sketi nyeusi.
Yaani leso si ndioVitambaa vya kufutia jasho
MmhhUza Condom na vilainishi, utastaajabu jinsi gani hivyo vitu vitagomabiniwa hasa Ijumaa kuamkia Jumamosi.
Hii imekaa poa maan yake asubuhi wakiamka watakunywa uji au chaiKama kuna mfungo uza mtori,uji,chai
Uza vitabu,pambano kuu, Daniel na siku zetu, lesson nk!Hello ladies and gentlemen
I guess all you are fine
Dear m niko na kitu nauliza iv n biashara gani unaweza kuifanya kwenye Makambi ya wasabato ??
Thanks na karibuni kwenye Makambi